Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nilikua nataka kujua kama kuna distributors wowote hapa Tz wanaouza embedded system equipments kama Arduino boards,complex Sensors,breadboards etc etc.inabore sana unataka kufanya ka project...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Habar za shughuli wakui,poleni na mashughuli katika kujipatia riziki,binafsi ninaomba msaada katika hili,napata tabu sana pale nisipotaka namba flani initafute kimawasiliano,hili lipoje kwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Xiaomi Redmi Note 4 - Full phone specifications CHIEF MKWAWA na wajuzi wengine, naomba kueleweshwa vizuri kuhusu ubora wa simu hizi. Naona wanatengeneza specs kubwa kwa bei ya chini sana[emoji14]...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Kwa kila post, unayoweka hewani, wengine wanaboost au kupromote post au matangazo yao, tangazo likiwa hewani watu wengi wana like post lakini sio page na wamiliki wa page wanakuwa wanatamani mtu...
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Habari wandugu! Kama kichwa cha habari kinavyosema natafuta digital thermostart kwa ajili incubators kwa ambaye anazo au anajua sehemu naweza pata naomba msaada tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kila ninapoiwasha computer yangu inaniletea neno enter current password. Iv majuz nilimpa rafik yangu atumie ndo amenirudishia ina ili tatizo cjui nifanyeje niweze kuliondoa najaribu kubadilisha...
0 Reactions
2 Replies
708 Views
Kama kawaida yangu huwa naunga kile kifurushi cha GB 2.8 kwa 2000 kila siku kwa mtandao wa Halotel, Ila leo cha kushangaza ni kwamba kwa sasa nitaweza kupata gb 1.5, Maumivu nayoyapata ni makali...
3 Reactions
76 Replies
9K Views
Habari wakuu, Nina router ya zamani ya ZTE ZXV10 W300 nataka iwe ina assign IP address (as DHCP Server) kwenye connected devices/PCs. Kisha PC1 igawe internet kwenye device/PC nyingine. Nafanya...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Naomba kupata WhasApp itakayokubali kuwa installed kwenye PC, najaribu ku-download inagoma. Mwenye hiyo Setup naomba msaada.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu vipi Halotel kuanzia Vifurushi na Kasi... Mi Niko Dar naweza kusema Vodacom wana Kasi kuliko Mitandao mingine tukiacha Smile Sijajua mlioko Koromije huko Mitandao gani wenye Kasi?
2 Reactions
1 Replies
759 Views
Wataalamu Jana nimepigwa mb kama 1000 nikiwa nimezima simu,mtandao ni halotel anyway nilishakata shauri kurudi airtel liwalo na liwe Ila najiuliza,wanaibaje?au ni kwamba kuna mtu labda tecnicians...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Et jamani kwa anae fahamu anieleweshe zaidi apo, nmejaribu kufungua account y mtu ya Instagram nikiwa nimelog in sioni chochot wananiambia ivi,, kweny pic apo BT nkiwa sijalog in naona naweza...
0 Reactions
2 Replies
992 Views
Nataka kujifunza kutoa virus kwenye Android bila kutumia computer inawezeka? NAombeni msaada wenu
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Hii makala ni maboresho ya makala ya iliyopita, soma tolea la kwanza Kwa kila post, unayoweka hewani, wengine wanaboost au kupromote post au matangazo yao, tangazo likiwa hewani watu wengi wana...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wakuu nna kimeo changu tecno phantom z mini ilikuwa inafanya kazi vizuri na internet. Sasa juzi hapa baadhi ya apps zinagoma kuconnect kwenye internet kama gmail na google browser. Whatsapp na...
0 Reactions
10 Replies
965 Views
Habarini za mchana ndugu zangu., Naomba kueleweshwa kwa mwenye kujua tofauti kati ya (Mac book Air na Mac book Pro)(apple) maana kunajamaa anataka tufanye biashara na mimi sijui ipi nzuri na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salamu kamili Wanajukwaa nilihitaji kupewa msaada juu ya Jambo hili,baada ya Simu yangu kupokea Android Nougat (7.0) nimekutana na hii " knox security for Malware" sasa ningeomba kujuzwa je hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ebhana hawa jamaa pia wana forum yao.. http://bbs.tecno-mobile.com/registration/inviteurl?invitecode=126462699
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, kuna dogo ananisumbua juu ya simu yake. Ni Samsung Galaxy Note 3 ila anadai ni COPY yaani siyo original. Bei yake inanishawishi niichukue ( 50,000 ). Anaonekana ana shida kwakweli. Anataka...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu,naomba msaada wa njia ya kuipata laptop iliyoibiwa nyumbani pamoja na vitu vingine kikiwemo kingamuzi cha startimes. Taarifa ya tukio la wizi lipo polisi lakini haonyeshi dalili ya...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…