Elimu zaidi juu ya Samsung Knox

Moshee

Member
Nov 15, 2016
23
28
Salamu kamili Wanajukwaa nilihitaji kupewa msaada juu ya Jambo hili,baada ya Simu yangu kupokea Android Nougat (7.0) nimekutana na hii " knox security for Malware" sasa ningeomba kujuzwa je hii ina kazi kama Antivirus au? Maana nimebaki Njia panda.
 
Mkuu ni security feature inayokusaidia kutenganisha mambo ya biashara na matumizi yako ya kawaida kwenye simu moja...
 
Mkuu ni security feature inayokusaidia kutenganisha mambo ya biashara na matumizi yako ya kawaida kwenye simu moja...
Nashukuru sana mkuu Joblee vipi kuhusu kinga na Tiba dhidi ya Virus wapatikanao kwa njia ya mtandao na upokeaji wa Mafaili au Taarifa kutoka kifaa kingine?
 
Back
Top Bottom