Ushauri jamani niinunue hiinunue hii simu??

Tanki

JF-Expert Member
Apr 7, 2013
491
189
Wakuu, kuna dogo ananisumbua juu ya simu yake. Ni Samsung Galaxy Note 3 ila anadai ni COPY yaani siyo original. Bei yake inanishawishi niichukue ( 50,000 ). Anaonekana ana shida kwakweli. Anataka nimpe hela mwisho wa mwezi huu. Kwa kweli kasimu ni kazuri tena kana good condition ila napata tabu kwenye vitu COPY. Wenye uzoefu nishauri hii simu haitanizingua kweli?. Je hizi copy za note 3 hazinaga majanga?? isijekula kwangu japo kaela ni kadogo
 
Kwakuwa ni 50000 nunua tu ila kununua simu copy ni afadhali ununue simu yenye jina kabisa la.kichina.
Copy ni.vimeo balaa wanachozingatia ni muonekano ufanane na waliyoicopy pamoja na.interface ila hardware na.specifics ovyooo yan ovyooo hukawii kukuta simu ina internal memory ya mb 100
 
Wakuu, kuna dogo ananisumbua juu ya simu yake. Ni Samsung Galaxy Note 3 ila anadai ni COPY yaani siyo original. Bei yake inanishawishi niichukue ( 50,000 ). Anaonekana ana shida kwakweli. Anataka nimpe hela mwisho wa mwezi huu. Kwa kweli kasimu ni kazuri tena kana good condition ila napata tabu kwenye vitu COPY. Wenye uzoefu nishauri hii simu haitanizingua kweli?. Je hizi copy za note 3 hazinaga majanga?? isijekula kwangu japo kaela ni kadogo
Achana nayo

Itakutesa tu...so far neno copy tu nalo litakunyima raha
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom