Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,367
Kama kawaida yangu huwa naunga kile kifurushi cha GB 2.8 kwa 2000 kila siku kwa mtandao wa Halotel, Ila leo cha kushangaza ni kwamba kwa sasa nitaweza kupata gb 1.5,
Maumivu nayoyapata ni makali sana maana hizo gb 1.3 walizozipiga panga ni nyingi sana, Napenda kutumia internet kuanzia youtube , streaming plus downloading various stuff,
Hapa nilipo ninawaza sana ni jinsi gani ntavyoweza ku utilize hizi G.B 1.5 ili kutumia internet kama hapo awali
Guys haya ni majanga kwa Heavy Internet users kama mimi walichofanya halotel niliokuwa nawategemea sana na hapa ndio kwanza hata sijui nihamie wapi maana voda, tigo na Airtel
wana bei zao nilizozikimbiaga zamani sana na kuhamia mtandao wa Halotel waliokuwa wana unafuu kupita kiasi enzi hizo.
NAOMBENI USHAURI AMA NYONGEZA NDUGU WANAJAMII
Maumivu nayoyapata ni makali sana maana hizo gb 1.3 walizozipiga panga ni nyingi sana, Napenda kutumia internet kuanzia youtube , streaming plus downloading various stuff,
Hapa nilipo ninawaza sana ni jinsi gani ntavyoweza ku utilize hizi G.B 1.5 ili kutumia internet kama hapo awali
Guys haya ni majanga kwa Heavy Internet users kama mimi walichofanya halotel niliokuwa nawategemea sana na hapa ndio kwanza hata sijui nihamie wapi maana voda, tigo na Airtel
wana bei zao nilizozikimbiaga zamani sana na kuhamia mtandao wa Halotel waliokuwa wana unafuu kupita kiasi enzi hizo.
NAOMBENI USHAURI AMA NYONGEZA NDUGU WANAJAMII