Black7
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 367
- 116
Et jamani kwa anae fahamu anieleweshe zaidi apo, nmejaribu kufungua account y mtu ya Instagram nikiwa nimelog in sioni chochot wananiambia ivi,, kweny pic apo BT nkiwa sijalog in naona naweza kuona.. Ni kitu gani kinachosababish jambo hli eb fanya km unanijuza kwa wataalam