mchushi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2012
- 216
- 98
Xiaomi Redmi Note 4 - Full phone specifications
CHIEF MKWAWA na wajuzi wengine, naomba kueleweshwa vizuri kuhusu ubora wa simu hizi. Naona wanatengeneza specs kubwa kwa bei ya chini sana
naona kama wamekaa kitecno tecno hivi??? Au ni kwamba chipset za MTK ni cheap sana? Au huwa hazina performance nzuri compared to others au tatizo nini? Mfano hiyo inaenda kwa price ya 135$USD. I think this is more than cheap for the specs in the device......smh
CHIEF MKWAWA na wajuzi wengine, naomba kueleweshwa vizuri kuhusu ubora wa simu hizi. Naona wanatengeneza specs kubwa kwa bei ya chini sana
naona kama wamekaa kitecno tecno hivi??? Au ni kwamba chipset za MTK ni cheap sana? Au huwa hazina performance nzuri compared to others au tatizo nini? Mfano hiyo inaenda kwa price ya 135$USD. I think this is more than cheap for the specs in the device......smh