Habari za muda huu wanajukwaa!
Kama kichwa cha thread kinavyojieleza,kuna simu mpya za Smartphone za Vodafone ambazo zinauzwa kwa Tsh.70,000/= tu.
Na zinaonekana kuwa na Android 6.0!
Kama kuna...
Wakuu naomba mnisaidie simu yangu ina tatizo la kuchemka kila nifunguapo data ,nimejaribu kurestore simu zaidi ya mara tatu ili niondokane na hili tatizo la kuchemka kwa simu yangu lkn naona bado...
Habari ya majukumu wana jamvi?
Nina modem ya TTCL ZTE zile ambazo zina line ya ndani (inbuilt line). Kwakuwa siitumii kwa zaidi ya mnusu mwaka, nami nikafikiri kuiformat ili niitumie kama thumb...
Mwenye ujuzi anisahidie jinsi ya kupata Duccument za kwenye hiyo link jamani mana kila nikijaribu ku copy na shindwa..>>>Kanuni za ufugaji bora wa kuku
Hello Wanatech!
Nimekuwa natumia internet sana bila kuifahamu vizuri origin yake hasa ni wapi, nimeona ni heri niulize huku.
1. Ni nani alianzisha internet hapo kale? Elezea kidogo na historia...
Habari zenu wakuu,muda si mrefu nilikua mtandaoni natafuta video editing software (Hitfilm) kwa kutumia laptop,kwa kua nilitype tu google kupata version ya software hiyo nimejikuta nafungua link...
Wataalam naomb kufaham kwa hizi simu za tecno,,ambazo kila kukicha wanatoa matoleo mapya he mpaka kufikia sasa ni tecno gan ambayo ndio bora kuliko matoleo yote,,na yenye kamera ya ubora wa hal ya juu
Habari za mdaa huu wana Jukwaa hili pendwa.
Naomba kujuzwa kama hyo graphic card ya hii compture inaweza kutolewa au laa
Chief mkwawa na wengine masaada
Habari zenu wapendwa kichwa hapo juu kinajieleza
juzi kati wezi walivunja madirisha ya nyumba nikiwa safarini na kufanikiwa kuiba laptop aina ya dell,television aina ya Samsung pamoja na...