nina tatizo la modem kudisconnect. nilipokua natumia connection type ya RAS inayokubali dial up nilikua nalikwepa hili tatizo kwa ku-redial either kwa kuset connection kwenye control panel au kwa...
Leo pind napost nashapost katika blog yangu nikaona ujumbe huu je unamaana gan kiufafanuzi wa kina na hii ndio blog yenyewe www.webweekhow.blogspot.com pind n na hii ndio post yenyewe How Do...
Wakuu Naomba msaada. Simu yangu Ina internal capacity ya GB 8 ni Tecno W3. Lakin lakin kinachonishangaza inajaa upesi wakati ina app chache nlizozidownload. Pia sion opt ya kuhifadhi app kwenye SD...
Habari za mida hii wakuu?
Natumia laptop aina ya HP, hii laptop ilikuwa inashika Wi-fi kutoka kwenye simu yoyote au mahali popote penye wireless inanipa notifications na natumia bila shida kama...
watu wengi tuki nunua simu tuna taka hiwe inasoma 4g lakini hiyo 4g imegawanyika katika familia mbili ambazo ni TD-LTE na FDD-LTE.
ni tofauti kati ya TD-LTE na FDD-LTE ni nini?
yote ni matoleo...
Habari za jioni, nina tatizo juu ya jinsi ya kufanya PC yangu aina ya Toshiba kushare Internet kwenye vifaa vingine vinavyotumia Internet. Nimewahi kufuatilia 'Tutorial' moja ambayo ilinielekeza...
Mwezi wa Enceladus ambao uko kwenye sayari ya Saturn huenda ukawa mahali bora zaidi pa kwenda kutafuta maisha nje ya dunia.
Tathmini hii inatokea kufuatia uchunguzi katika sayari hiyo yenye...
Hivi tanzania hakuna programmer wa games nawakaribisha sasa tusome hata kwa kupeana ushauri , maoni na kusaidiana so far mi natumia UNITY3d kudesign na kucode game karibun sana .
Baada ya kucheza na Serious Bugs za experimental builds zilizopita,finally hii latest build imeanza kuleta muangaza wa uwezekano wa hii fantastic Project kufanikiwa.
Binafsi nimeanza kutumia hii...
kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza ni wiki ya pili sasa pc yangu inaji restart na kuandika maneno hayo hapo juu. Kwa mwenye uelewa tatizo hili nitalimalizaje? na sababu yake ni nini...
wanajamvi, nina tatizo la roaming connection kupitia moderm. modern inabadilika rangi inakua kijani mkoreo, speed inapungua inakua about 1kb/s. dashboard inaandika R, ukiwa unaistart dashboard...
husika na kichwa,nlikuwa naplay game ya gta xax ikasumbua ikanibid niformatt hard d na kuinstall window7 ultmate lkn kwa sas nikifungua ile game ya gta inanambia can not find enough available...
wakuu naomba mwenye kujua jinsi ya kureset password kwenye wi-fi router ya vodafone anisaidie nimeinunua kwa mtu (teja) na iko protected msaada kama naweza kutengeneza new password
Wadau! Natumaini mpo poa na harakati za kimaisha zinaendelea.
Hivi karibuni nilikikuta Sina ujanja, ikanidi nilirestore simu yangu (iphone) tukio Hilo lilipelekea kupoteza data zangu zote...
Hbr yenu wakuuu!!
Kam kichwa cha hbr kinavyojieleza apo.
Kuna system nimedownload apa naingiza username and password nilizozikuta kweny link ambako nmedownload but zinagom.
Kwahvo nilikuwa naombe...