Utakachosoma hapo chini ni kwa ajili ya kujifunza , inawezekana hii taarifa isiweze kukudaidia wewe lakini ikasaidia mwingine na inawezekana unapojaribu kuscan vitu fulani vikafutwa au ukapatwa...
Wakuu naombeni mnipe shule kuhusu hizi tv ambazo ni flat scren za 'startimes', zikiwa na ving'amuzi tayari.
Zina ubora gani ukufananisha za za aina nyingine kama za sony na sumsung.
Nimezikuta...
Mafunzo yoyote na miongozo yoyote iliyokwepo kwenye nyaraka hii ni kwa ajili ya masomo ( kujifunza ) tumia miongozo na mafunzo mengine ndani ya nyaraka kwa ajili ya kujifunza wewe na wenzako ...
Salaam wana jamiiforums.
naomba msaada kwenu kwa wale waliobobea katika elimu ya ya Computer.
nimekuwa nikisumbuliwa na On-screen key board inajitokeza kila ninapofungua Computer yangu (Lap top)...
WanaJF wenzangu naomba kuwatahadharisha tu kuhusiana na baadhi ya members wapya wenye majina ya ajabu ajabu (hata yale ya kawaida), wanaojiandikisha mara moja na kutuma posts zinazo offer software...
Wadau habari zenu
naomba kama kuna mtu amewahi kutumia mtandao wa torrentz.com
anisaidie procedures za kufuata ili niweze kudownload music au hata movies coz
nimejaribu mara kibao nimeshidwa.
Wadau nisaidieni kuna jamaa yangu anadai mobile yake imekufa imeshambuliwa na virus
naogopa mobile yangu isije shambuliwa maana toka jf waweke mobile edition muda mwingi natumia mobile niwapo nje...
Umewai kujua ni kwa nini baadhi ya keyboard alama kam "@" haiko sehemu uliyozoea. Au alama hiyo ya @ ukiibofya inatokea alama nyingine mfano "
Tatizo hili linatokana na KEYBOARD lay out...
Tafadharini sana,
Nilimtumia mtu pesa mwezi wa July (CRDB),nikamtaarifu akasema sawa ila inaonekana (labda hakwenda kuangalia benk).
Leo ananitafuta anasema SIKUWEKA hela!!!!!!!!!
tatizo langu ni...
hello there are several ways search engines can benefit from users. recently I heard that google is the leading search engine in the world and it raises millions of shillings daily. I am anxious...
Msaada jamani,
Natafuta soft copy ya kitabu kinachoitwa " The new Money Masters" author wake ni John Train
Mwenye kuweza kuniwekea link nitashukuru sana!
Habari zenu jamani.
hapa nyumbani ninatumia desktop imeandikwa IBM THINK CENTER
sasa tatizo ya hii desktop inaunguruma sana mpaka inafika mda hata watu waliolala usiku nawasumbua sasa sijui...
thESE PHONE corporation macho men zinatunyonya damu zetu,waste our time and money,In vodacom internet i did some research nikagundua when ukiweka bomba30 speed inakuwa chini bt ukiweka normal...
Skimming devices placed over card-reader slots capture your information.
The next time you pull up to an ATM, take a closer look at the machine. Does it look a little clunkier than usual?
Look...
Nimesikia kuwa Tanzania ilijiwekea mkakati ku kumaliza utaratibu wakumaliza kuhamsha urushaji wa matangazo kutoka analog kwenda digital ifikapo 2012 badala ya 2015.TBC ni mojawapo ya makampuni...
Natowa kwanza heshima kwa ndugu zangu wote wahusika nawaombeni msaada wenu munisaidie au kama kuna mtu mwengine ana matatizo kama haya aweze pia kunsaidia
kawezaje kuyatatuwa. nimejaribu kuiweke...
Naomba msaada wanajamii wa kuondoa window alert, nina pc yangu niliistal Window XP sasa imeleta alert ambayo inasema '' YOU MAY BE A VICTIM OF SOFTWARE COUNTERFEITING, This copy of Windows did not...
IT'S A LONG TIME NOW NINAJARIBU KUKONECT NA INTERNET YA ZAIN KWENYE SIMU YANGU NASHIDWA IMEJARIU KUTUMA NENO internet KWENDA232 IMEKATAA YANI SIPATI REPLY YOYOTE HOW CAN I DO NIWEZE KUKONECT...
Tanzania: Internet Cafes Owners Face Technology Challenges
Abduel Elinaza
19 September 2010
Dar es Salaam INTERNET cafes owners are facing technology challenges which...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.