habari zenu jamani
computer ambayo ninatumia kwa sasa inanisumbua kwa jambo moja kwamba kuna bar ambayo kama ukiminimize certain folder unaweza kuiristole kwa kuclik kwenye hiyo bar ila sasa...
Nimeingia jijini dar jana. Je ni wapi naweza kupata laptop mpya kwa bei kati ya laki tano hadi laki saba. Na yenye gerentii japo mwaka mmoja. Natanguliza shukrani wana JF kwa msaada wenu.
"USE THIS FOR EDUCATION ONLY,AM NOT RESPONSIBLE FOR ANY THING CONCERN THIS MATERIALS"
1.FUNGUWA BROWSER YAKO,MIMI NATUMIYA EXPLORE.
2.NENDA ANY LOGIN PAGE,NAOMBA LEO NITATUMIYA GMAIL...
Rapidshare is a great file sharing site , but sometimes it´s difficult to find wanted file in rapidshare. In this post i´ll show simple keyword trick, that can help a lot.
Go to google and...
Mimi ni mteja wa NMB na pia natumia sana NMB mobile katika kuhamisha pesa kwenda sehemumbalimbali.
Huduma ya NMB mobile imetusaidia sana hasa tulio na watoto wanaosoma boarding.
Nimeshangazwa na...
Sorry for posting this so late. Tri Labs will be conduction a two weeks web development workshop from 25th Oct - 5th Nov. During the workshop will we cover (XHTML/CSS, JavaScript using jQuery...
Wadau nisaidieni nataka kuwakimbia sasatel, kwani nikitoka tu nje ya Dar kwisha habari.
ingawa si mtaalamu na mzoefu wa modem za mitandao mingine lakini hii ya sasatel haitumii sim card ya sasatel...
From VS Revo Group
Revo Uninstaller is a freeware innovative uninstall utility much faster than Windows Add/Remove applet. With its advanced and fast algorithm, Revo Uninstaller scans before and...
Ndugu wana jAmiiF, kama unahitaji ku unlock 3G modem yako ili uweze kutumia laini yoyote at your convinience, basi download hii soft ware. Then Chukua Imei namba ya modem yako inakili pembeni...
Haya. Tovuti ya Chadema haipo hewani. Sishangai nikiambiwa ime-crush kwa sababu ya traffic au CCM wamei-hack! Dr Slaa yuko kwenye kampeni akihamasisha pamoja na mambo mengine teknologia wakati...
Heshima kwenu wakuu! Nimependezwa na utendaji kazi wa Microsoft Reader hasa baada ya kuijaribu kwenye Asus Eee PC T91MT Tablet Netbook. Text to speech na Clear Type ni baadhi ya features...
Tamko la TCRA kuhusu ujumbe wa simu unaowachafua baadhi ya wagombea wa Uraisi 2010
Mamlaka ya mawasiliano nchini Tanzania, TCRA, imekiri kupata taarifa za kuwepo kwa ujumbe unaosambazwa kupitia...
Wadau, nimeshaona minara yakurushia matangazo ya redio mara nyingi kila kituo kina minara yake (sijui kama kuna vituo vina'share' matumizi ya minara hiyo).nimewahi kusoma kuwa katika mfumo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.