Jamani naomba mnisaidie namana ya configure outlook ili iwe na uwezo wa kupakua e-mails zangu na niwe nasoma hapo. AU niseme naomba kufundishwa NAMNA ya kutumia outlook
Heshima kwenu wakuu wote wa jf hususan kitengo hichi cha sayansi na tekn.mimi nahitaji kutengeneza virus asie kuwa na madhara.najua humu ndani mpo wakali wa mambo haya. Mnielekeze hatua kwa...
Habari wakuu!!:A S 27:
Kupitia JF Naomba mwenye kuniwezesha Kupata Link ya free download Software ya Business-in-a-Box Pro.
Ni matumaini yangu kuwa ntapata support kwa wanaJF.
Asante sana!
wakuu ninahitaji msaada wa program or software ambayo na weza kulink na watu pande zote za dunia niweze kufanya nao kazi kwamba anahitaji kuflash au kunlock alink na site yangu na mm...
To IT pros and beginners, try this download manager
Best Download Manager - FlashGet
Download FlashGet 3.7.0.1156 - FileHippo.com
But take care guys, there is no free lunch
Bandugu,
Hamjambo, naombeni msaada wenu, kwa mtu anayejua namna ya kupa ta hii software ya adobe photoshop element 4.0 ama version ya juu yake, nimepoteza cd ya camera yangu, so the only way...
hello guys.
wana jf kwa wale ambao wako intrested in knowing maujanja in IT regarding different programming language,wanaweza kuja hapa wakaona kwa vitendo kabisa since maelekezo yake yako kwa...
Habari wandugu wa JF,
mimi ni miongoni wa mapenzi wa movies. Sasa ninamtindo kila nikimaliza kuangalia movie huwa naenda kwenye websites (e.g rotten tomatoes) kutoa reviews zangu au hata tu...
Baada ya kupitia kurasa za zamani ktk sub-forum hii nikaona kuwa kuna mambo mengi mazuri yalishasemwa na wadau mbalimbali toka mwaka 2006 ilipoanzishwa jf, wakati huo jf ikiwa kweli ni mahali pa...
Wakuu nimenunua hii modem ya huawei e1550 ya Zain/airtel na nimeweka line ya airtel.
Lakini kila nikijaribu ku connect inaniambia "The SIM/USIM card not been detected or invalid" wakati inaniambia...
Jamani naombeni msaada! nilicompress File zangu kwa kutumia RaR nikaweka password kwa ajili ya unziping bahati mbaya nimesahau password gani nilitumia. kuna program yoyote au njia gani naweza...
wataaalam mlioboea kwenye mambo ya web ninahitaji ushauri na elimu ya kitaalam
Nina knowledge kiasi tu sasa nilikuwa najikumbusha mambo ili nisisahu vitu kwenye web engereening.
Nataka...
wanajamvi
Kabla sijasema memngi naomba tembelea
Home page ya TBC Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC)
TBC Taifa wao page yao hii hapa TBC TAIFA
Alafu tembelea Home website ya KBC...
Nadhani nianze kwa kusema:
Kuwa na kompyuta ni kitu kimoja lakini kuwa na uhakika kuwa ulichoweka kwenye kompyuta hiyo ni salama na hakuna anayeweza kukitoa wala kukiona bila idhini yako ni kitu...
Virus is a little program that its activity can destruct/destroy some files and a computer system. If you don't open this program, it still inactive and could not destroy anything.
The virus...
Habari ya siku mingi wana JF ? nimepotea kwa mda kidogo kutokana na majukumu...
Wakuu jana usiku nilikuwa officen napiga job, akaja mafanyakazi mwenzangu akaomba afungue flash yake kwenye...
Nina simu aina ya sony ericsson w595 inatumia files zenye jar format. Tatizo kubwa linalonikabili ni kwamba kila nikitumia opera mini (4 au 5) inafikia kipindi hiyo opera inagoma kufanya kazi...