Bandugu,
Hamjambo, naombeni msaada wenu, kwa mtu anayejua namna ya kupa ta hii software ya adobe photoshop element 4.0 ama version ya juu yake, nimepoteza cd ya camera yangu, so the only way to download pictures kutoka kwa camera yangu ni kwa kutumia hii program. naomba mnisaidia bandugu.
Hamjambo, naombeni msaada wenu, kwa mtu anayejua namna ya kupa ta hii software ya adobe photoshop element 4.0 ama version ya juu yake, nimepoteza cd ya camera yangu, so the only way to download pictures kutoka kwa camera yangu ni kwa kutumia hii program. naomba mnisaidia bandugu.