Msaada (win rar)

njiwa

JF-Expert Member
Apr 16, 2009
12,400
5,576
Jamani naombeni msaada! nilicompress File zangu kwa kutumia RaR nikaweka password kwa ajili ya unziping bahati mbaya nimesahau password gani nilitumia. kuna program yoyote au njia gani naweza kutumia ili kuzipata file zangu MUHIMU sana. picha ya file hii hapa chini

cats.jpg
 
Jamani naombeni msaada! nilicompress File zangu kwa kutumia RaR nikaweka password kwa ajili ya unziping bahati mbaya nimesahau password gani nilitumia. kuna program yoyote au njia gani naweza kutumia ili kuzipata file zangu MUHIMU sana. picha ya file hii hapa chini

View attachment 20613

Too much security means insecurity Sasa ona ulichofanya.
Liweke hilo file hapa sio picha tu waatalamu walifungue
 
Mkuu waweza jaribu na hii, nasema jaribu kwavile mimi sijawa kupata tatizo hilo. So sina uhakika na utendaji wake http://www.fzdownloads.com/download2.php?name=283730&userID=22377&userno=67279278&action=1

poa mkuu nitajaribu

Too much security means insecurity Sasa ona ulichofanya.
Liweke hilo file hapa sio picha tu waatalamu walifungue

For you it means insecurity for me it is intimacy . as for file i cant do tht umeshaona limeandikwa personal kwenye picha. thanks though.

kuna password crackers nyingi unaweza uka google also cheki hapa kuna maelezo na recommendations How to Open Password Protected RAR Files

shukran mkuu ntajaribu
 
Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kwamba mtu anaweza kusahau password yake, aiclick kwenye ubongo wangu. i smell Rat.
 
Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kwamba mtu anaweza kusahau password yake, aiclick kwenye ubongo wangu. i smell Rat.

oh niggah plz so what are u suggesting sasa ...?
 
Back
Top Bottom