Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
wanajamvi
Kabla sijasema memngi naomba tembelea
Home page ya TBC Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC)
TBC Taifa wao page yao hii hapa TBC TAIFA
Alafu tembelea Home website ya KBC (kenya) Kenya Broadcasting Corporation:
Sitaki kwenda mbali kulinganisha hizi website na web kama za CNN na BBC.
Sasa kuna mapungufu mengi nimeyaona kwenye TBC moja ya tasisi inayotakiwa kuwa mfano kwenye mambo ya TEKNOHAMA.
Nawasilisha kwa mjadala
Kabla sijasema memngi naomba tembelea
Home page ya TBC Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC)
TBC Taifa wao page yao hii hapa TBC TAIFA
Alafu tembelea Home website ya KBC (kenya) Kenya Broadcasting Corporation:
Sitaki kwenda mbali kulinganisha hizi website na web kama za CNN na BBC.
Sasa kuna mapungufu mengi nimeyaona kwenye TBC moja ya tasisi inayotakiwa kuwa mfano kwenye mambo ya TEKNOHAMA.
- Kwanza kabisa nilitegemea kwenye web ya TBc watanzania waweze kuona habari katika video. Japo taarifa ya habari ya jana au juzi. Ukichunguza vizuri Kbc wana viunganishi vyao official kwenda youtube ambako wameweka vipande ya taarifa za habari na vipindi vingine.TBC wansindwa nini kuweka picha za video.?????
- Ukienda kwenye kiunganishi cha contact us ( http://www.tbc.go.tz/contact-us.html)cha TBC unakutana na kituko. Si tu wanawalazimsisha watu wawasiliane nao kwa njia moja ya simu pekeee bali nimejaribu kupiga baadhi simu zao naombiwa nakosea number . Anayeweza ajaribu hizo number za kwenye contac us one ( 0025522270032/62). Linganisha na contact us ya kbc (Kenya Broadcasting Corporation: - Contact Us) wameweka na email pia ambayo ndiyo njia rahisi na nafuu kwa mtu anayetumia website kuweza kutumia.
Hiki ni kituko sana kwangu.Najua wanaweza kuwa nayo email lakini hii web inaonyesha vitu haviko coordinated vizuri nyuma ya pazi . N a hata kama wanayo sijui kama kuna mtu serius anayekuwa anaicheki na kujibu au kufanyia kazi comments za watu
- Taarifa haziko updated katika wakati TBC .Nafuu kidogo kwenye home page ya TBC kitu cha kwanza unaona ni picha ya Pinda lakini nina hakika hii picha inaweza kuwa ya mwaka 2009 au 2010. Sasa kituko ni kwenye TBC taifa picha inayoonekana ni mdada akiwa studio....... ..Hivi hata kama habari za picha zina umuhimu ndio waweke picha ya studio.!!!!!!!!!
Hakuna mtu anataka kuona xyz akiwa studio ,tunataka kuona wakisoma au kutangza taarifa
Sasa ukija kwenye hata habari zenyewe za maadishi pia haziwi updated na sio latest. Ilinishangaza website ya BBC swahili ilikuwa na updated news za uchaguzi wa tanzania kuliko TBC. BBC waliweza kutumia channel ya Ustream.tv kuwafikishia habari watu wengi zaidi.
Mfano TBC taifa habari yao ya kwanza inasomeka hivi "Last Updated ( Friday, 05 November 2010 03:45 ". Kiunganishi cha vacancies(http://www.tbc.go.tz/vacancies.html) kimekuwa "Last Updated Saturday, 24 October 2009 10:23" Je ni kweli TBC hawajaajiri toka kipindi hicho??!!!!
Nimeongelea TBC sababu ni chombo cha umma lakini hoja yangu inaweza kuvilenga vyombo vingi vya habari ambavyo haviwi mfano mzuri katika Teknohama Mfano TBC taifa habari yao ya kwanza inasomeka hivi "Last Updated ( Friday, 05 November 2010 03:45 ". Kiunganishi cha vacancies(http://www.tbc.go.tz/vacancies.html) kimekuwa "Last Updated Saturday, 24 October 2009 10:23" Je ni kweli TBC hawajaajiri toka kipindi hicho??!!!!
Nawasilisha kwa mjadala