Napoteza kibarua changu msaada tafadhali

Tumsifu Samwel

JF-Expert Member
Jul 30, 2007
1,407
159
Habari ya siku mingi wana JF ? nimepotea kwa mda kidogo kutokana na majukumu...


Wakuu jana usiku nilikuwa officen napiga job, akaja mafanyakazi mwenzangu akaomba afungue flash yake kwenye laptop yangu, nilimpa na baada ya kuichomeka nilisikia mlio flani hivi toka kwenye motherboard ya laptop yangu.... alipo maliza kazi yake nilirudi kuendelea na kazi zangu... ghafla ilikuja blue screen ikiniambia ni shutdown mashine yangu mara moja, hapo hapo ikajizima yenyewe na nilipoiwasha tena nilikutana ma ujummbe huu



"SMART Failure Predicted on hard Disk 0: TOSHIBA MK8025GAS- (PM)
WARNING: Immediately Back_up your data and Replace your Hard disk Drive. A failure be Imminent.

Press F1 to Continue"


Nilipo jaribu ku press F1 iliniletea Option hizi
login Safe Mode au last good configuration,
nilichagua safemode ilichukua kama dakika 20 bila kufunguka ,pia hivyo hivyo kwa last good configuration...
Nimeitoa HD na kuweka kwenye Case ya Ucom mobile 2.5 kama external disk imefunguka vizuri tu ila napotaka kuingia kwenye user flolder ambalo ndiko kwenye files zangu zote ina goma kufunguka na kutoa MSG

"G:\Document and settings.Carthbert
Is not accessible.
Access denied.


Wakuu nimechanganyikiwa mno maana kuna report natakiwa kuziwasilisha kesho.
Masaada tafadhali.
 
Pole ila wapo wanataaluma watakuelekeza na kukuhoji ili upate njia bora za aidha kutrouble-shoot, ila kuwa makini na hizo flash maana nyingi huwa na viruses.
Pole ila utapata ufumbuzi humu kwa great thinkers wa taaluma hiyo.

Keep on waiting...
 
Habari ya siku mingi wana JF ? nimepotea kwa mda kidogo kutokana na majukumu...


Wakuu jana usiku nilikuwa officen napiga job, akaja mafanyakazi mwenzangu akaomba afungue flash yake kwenye laptop yangu, nilimpa na baada ya kuichomeka nilisikia mlio flani hivi toka kwenye motherboard ya laptop yangu.... alipo maliza kazi yake nilirudi kuendelea na kazi zangu... ghafla ilikuja blue screen ikiniambia ni shutdown mashine yangu mara moja, hapo hapo ikajizima yenyewe na nilipoiwasha tena nilikutana ma ujummbe huu



"SMART Failure Predicted on hard Disk 0: TOSHIBA MK8025GAS- (PM)
WARNING: Immediately Back_up your data and Replace your Hard disk Drive. A failure be Imminent.

Press F1 to Continue"


Nilipo jaribu ku press F1 iliniletea Option hizi
login Safe Mode au last good configuration,
nilichagua safemode ilichukua kama dakika 20 bila kufunguka ,pia hivyo hivyo kwa last good configuration...
Nimeitoa HD na kuweka kwenye Case ya Ucom mobile 2.5 kama external disk imefunguka vizuri tu ila napotaka kuingia kwenye user flolder ambalo ndiko kwenye files zangu zote ina goma kufunguka na kutoa MSG

"G:\Document and settings.Carthbert
Is not accessible.
Access denied.


Wakuu nimechanganyikiwa mno maana kuna report natakiwa kuziwasilisha kesho.
Masaada tafadhali.
Pole Mkuu, lakini laptop ni individual property kwahiyo iwe ya kwako peke yako. Ila pia inawezekana kufa kwahiyo motherboard kulianza siku nyingi labda wewe hukugundua. Liliwaho kunitokea hili. Motherboard zipo na zinauzwa hata ebay wanaziuza kutegemea na aina ya computer yako. Hapo ulipo nenda kwa fundi wa computer mzuri ataweza kuback up data zako zote. Kisha utachagua hiyo laptop uitupe au uitengeneze.
 
Halifunguki kwa kuwa Folder it fall under OS ya kwenye hiyo drive, here is solution Take ownership of that folder follow this step
1.Right Click folder ambalo unataka kulifungua
2. Choose Proparties utaona Tabs eg. General, Sharing, Security and Customize
3. Choose Secutiry and the hi-lite Administrator
4. Click Advance Tab
5. Hi-Lite Administrator and click Tab hapo juu ya Owner
6 . Hi-lite Administrator and tick Repalce owneron Sub........
7.Finish by clicking OK, it will take time and it depend on size of data you have on that folder, when it finish you free to open your folder
Thanks
 

Attachments

  • pic2.JPG
    pic2.JPG
    101.5 KB · Views: 59
Halifunguki kwa kuwa Folder it fall under OS ya kwenye hiyo drive, here is solution Take ownership of that folder follow this step
1.Right Click folder ambalo unataka kulifungua
2. Choose Proparties utaona Tabs eg. General, Sharing, Security and Customize
3. Choose Secutiry and the hi-lite Administrator
4. Click Advance Tab
5. Hi-Lite Administrator and click Tab hapo juu ya Owner
6 . Hi-lite Administrator and tick Repalce owneron Sub........
7.Finish by clicking OK, it will take time and it depend on size of data you have on that folder, when it finish you free to open your folder
Thanks


Ahsante sana kiongozi kwa ushauri wako... nimefanya hivyo na sijafanikiwa,niki Choose Proparties nakutana na tabs 3 tu ambazo ni General, Sharing, Customize....Security Haipo....

View attachment 20569
 
Pole Mkuu, lakini laptop ni individual property kwahiyo iwe ya kwako peke yako. Ila pia inawezekana kufa kwahiyo motherboard kulianza siku nyingi labda wewe hukugundua. Liliwaho kunitokea hili. Motherboard zipo na zinauzwa hata ebay wanaziuza kutegemea na aina ya computer yako. Hapo ulipo nenda kwa fundi wa computer mzuri ataweza kuback up data zako zote. Kisha utachagua hiyo laptop uitupe au uitengeneze.

Asante kwa maoni yako.... Motherboard ni nzima kabisa, tatizo lipo kwenye HDD ambayo ime-Failure.
 
Ahsante sana kiongozi kwa ushauri wako... nimefanya hivyo na sijafanikiwa,niki Choose Proparties nakutana na tabs 3 tu ambazo ni General, Sharing, Customize....Security Haipo....
-Double click my computer
-Click tools
-Click folder options
-Click view tab
-Scroll mpaka mwisho
-Click use simple file sharing (Recommended) yaani toa tick
halafu fata maelekezo ya Mzalendo80 hapo juu
 
Yeah, seucrity tab huioni kwa kuwa unatumia Win Xp, by default haipo fuata kwanza melekezo ya Crashwise halafu ndio ufuate maelekezo yangu, am sure you will come al-ryt
 
View attachment 20577
pencil.png



Hapa sioni Admin user name ambayo ilikuwa kwenye laptop yangu... nimejaribu ya juu na yachini na kufauta maelekezo ya mzalendo imegoma wakuu.....


Wakuu naomba msikkate temaa ya kunisaidia tafadhalini.
 
Add Administrator kwenye hiyo pic uliyoituma, ndio maana inakupa error kwa kuwa Administrator Acc haipo hapo
 
View attachment 20577
pencil.png



Hapa sioni Admin user name ambayo ilikuwa kwenye laptop yangu... nimejaribu ya juu na yachini na kufauta maelekezo ya mzalendo imegoma wakuu.....


Wakuu naomba msikkate temaa ya kunisaidia tafadhalini.


Add Administrator kwenye hiyo pic uliyoituma, ndio maana inakupa error kwa kuwa Administrator Acc haipo hapo
 
View attachment 20580

Ime goma na kuleta MSG hiyo hapo juu....


Je wakuu naweza kutumia Linux mint,ubuntu 10 or Fedora 11? mwanzoni nilijaribu kwenye Ubuntu 10 ikagoma ku a-mount kwa sababu nilipo kuwa naitumia kwenye XP nilitumia Safely Remove ikagoma nikaishomoa kwa kuilazimisha....

Sasa naona imetulia je naweza kuiremove then nikaenda kwenye ubuntu 10 na kuziona data zangu?
 
View attachment 20580

Ime goma na kuleta MSG hiyo hapo juu....


Je wakuu naweza kutumia Linux mint,ubuntu 10 or Fedora 11? mwanzoni nilijaribu kwenye Ubuntu 10 ikagoma ku a-mount kwa sababu nilipo kuwa naitumia kwenye XP nilitumia Safely Remove ikagoma nikaishomoa kwa kuilazimisha....

Sasa naona imetulia je naweza kuiremove then nikaenda kwenye ubuntu 10 na kuziona data zangu?
jaribu kubadilisha cable....
 
I think you have done something wrong on the way, i hope could help through the phone step by step and you could solve your problem. If you think you can drop your number to call you or add me on facebook then i can help step by step
 
jaribu kubadilisha cable....
Umenena Mkuu... sio cable tu nadhani hata Case yenyewe ya Ucom Mobile ni kimeo japokuwa ni mpya... nasema hivyo kwa sababu External drive yangu ya mwanzo ilikuwa unaweka data vizuri tu bilashida, ila baada ya case yake kufa na kununua hii imekuwa inaharibu baadhi ya mafile....

Dah! naona kazi imekuwa kubwa kidogo, ngoja nijaribu na option nyingine maana kupata Case nyingine au cable kwa mda huu sio rahisi sana...
Mkipata Idea mpya naomba mtupie hapa tafadhali maana leo silali hadi na hakikisha nazipata files zangu.
 
Nenda mapema kesho kwa watu wa files recovery watakurudishia data zako zote.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom