Kibirizi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 604
- 146
Tafadhari mwenye maarifa ya kutosha juu ya uchakachuaje wa modem ya Voda aina ya K3565 -Z, nimejaribu kuchakachua lakini kuna sehemu imenishinda, nilifanikiwa kuweka dashboard ya JOIN AIR na ilikubali line zote kwenye computer yangu tu, lakini kwenye computer nyingine inagoma inatoa message ya unknown device, baada ya ku-uninstall ile software ya JOIN AIR na kuinstall upya ndio ikagoma kabisa inasema unknown device sasa sijui nifanyeje? Thanks in advance.