Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

program is a very good tool that can be used to steal votes during elections especially during the tallying. What can be done is just taking the input votes deduct X% from W, R and Z send to C...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1. Google.com -Ni kama google ndo internet kwa sasa. inatwa search engine ila naita search answer website/engine. Inashangaza kuna watu wanakuwa wavivu wa kujishughulisha. Anauliza swali au...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
Ndugu wana great thinkers.nina cm yangu aina ya sumsung sgh 70 3G, imevunjika display na nimetafuta nimekosa.sasa nataka nibadili matumiz niifanye modem.vp inafaa niifanye modem?nina cd prgm yake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu naomba msaada jinsi ya kuweka picha itokee kubwa kwenye post kila picha ninayoweka inakuwa ndogo, picha zote ninazoweka ninatoka kwenye pc yangu kuna mtu aliniamia copy and paste...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya kufungwa ile ya mwanzo, project bado inaendelea. Kwa mwendo ule ule wa kobe. Ukitaka kushiriki, si vibaya. Ila kunzia sasa mpaka ikae sawa, ni mwendo wa kidikteta dikteta. project web...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani natumia Modem aina ya Huawei E220 ya zain, kabla nilikua nasubscribe kwa fulldata na ilikua iko poa sana, hadi nikawa ambassador wa kujitolea wa airtel, nikawa nawashauri watu wajoin...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
its true that by the use of technolog(information technology and information system ) tunawe kufanikisha mambo mengi kweli na kuweza kubalance mda pamoja na fedha kwa ajili ya matumizi mengine kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimesoma articles mbali mbali mbali zinzotabiri kuwa bidhaa inayoitwa CD& DVD storage and Drive zitakosa umuimu kwenye soko. kama ilivyokuwa Diskette. Leo hii Diskket drive na diskette...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari? Nina note book yangu nikiiwasha hua haidisplay kitu, lakini inaonesha imewaka, kuna rafiki alisema ali-force kui-shut down baada ya kufungua mafile mengi. Naomba msaada wenu. Ahsante
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF Nimenunua king'amuzi cha Star Times. Wauzaji waliniuliza hali ya ninapoishi na kunishauri nitumie antena ya kawaida ili mradi tu inashika TBC kwani ile ya kwao ndogo haitashika mawimbi...
0 Reactions
2 Replies
10K Views
NimeInstall Xp lakini siyo Ginuwine,Nimejaribu kudownload labda keygens za aina tofauti tofaoti nimekosa kabisa na zingine hazikubali.Je wataalamu mnaweza nielekeza wapi ntapata XP loader...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu!wajamen naomben kuulza,kuna ndugu yangu mmoja ana a/c kwenye bank ya crdb,kakuta kias kikubwa cha akiba yake hakipo,sasa akajarbu kwenda kwenye bank husika kuomba bank...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wana JF, kama thread hii ilivyo, flash yangu haifunguki ila inatoa alert kuwa " The disc in drive D is not formatted, Do you want to format it now? nimestuka kwani najua risk ya kuformat ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
WanaJF mambo vp? Kwemaaa?.Jamani naombeni msaada kwenu wa nini cha kufanya na ni mahitaji gani ya muhimu yanayotakiwa.Jamani ndugu zangu ninahitaji kuanzisha kituo cha radio cha kurusha matangazo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hi JF members, ninauelewa wa kati kwa kutumia excel MS na nimeshawahi kusikia kuwa its possible to make software using excel MS, wadau naweza kupata notice/ maelekezo ya kutosha ili kutengeneza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakubwa,napata shida sana kutumiwa message zisizo na maana hasa zinazopitia Spam badala ya kwenye Inbox ktk e mail.Awali nilikuwa nimei-OF ili nisizipate kwenye e mail yangu lakini bbaadhi ya watu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina Server DELL PowerEdge 1600sc ina Windows 2000 Server. Ina several hard disks ambazo zote nimezipatition including Health (Active) Basic Primary Partition,(Drive C & I ni hard disc MOJA) lengo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
msaada wana jf. Ni wapi ninaweza kununua decorder tajwa hapo juu na itanigharimu tsh ngapi.natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jf habari zenu? Nimesikia malalamiko mengi kuhusu modem za tigo na airtel pia, vp kuhusu Zantel na Ttcl? Cost vs efficiency vinahusika
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ilishawekwa jamvini kipindi cha nyuma. Inafanyika Dar June 4-5, deadline ya ku request participation ni May 31. For more details follow this link: Mobile and Web Technologies for social and...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…