Habari?
Nina note book yangu nikiiwasha hua haidisplay kitu,
lakini inaonesha imewaka,
kuna rafiki alisema ali-force kui-shut down baada ya kufungua mafile mengi.
Naomba msaada wenu.
Ahsante
my net book ikileta kokoro kama hizo huwa nachomoa betri,afu nairudisha naiwasha kwa safe mode.imetokea twice and worked perfectly fine for me.sijui kama ina madhara yaliyojificha lakini.
Habari?
Nina note book yangu nikiiwasha hua haidisplay kitu,
lakini inaonesha imewaka,
kuna rafiki alisema ali-force kui-shut down baada ya kufungua mafile mengi.
Naomba msaada wenu.
Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.