Msaada please!waku2mia simu kama modem

Ndokororo

Member
May 10, 2011
38
3
Ndugu wana great thinkers.nina cm yangu aina ya sumsung sgh 70 3G, imevunjika display na nimetafuta nimekosa.sasa nataka nibadili matumiz niifanye modem.vp inafaa niifanye modem?nina cd prgm yake je cofigtn nitaifanyaje?manake wakati inaharibika ilikuwa na cnfgrtn ya tigo,mimi nataka nitumie airtel.nitafanyaje kuset hiyo confgrtn ya airtel wakat display haionyesh?.msaada please.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom