lifeofmshaba
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 867
- 219
wakuu naomba msaada jinsi ya kuweka picha itokee kubwa kwenye post
kila picha ninayoweka inakuwa ndogo, picha zote ninazoweka ninatoka kwenye pc yangu
kuna mtu aliniamia copy and paste nimejaribu hiyo lakini naona hakuna kitu, ninatumia attachment au insert image ndio hivyo viduchu vinatokea.
nikiweka picha baada ya muda nakuta mtu ameweza kuikuza, wengine nimewatumia PM kuwauliza wanasema ni copy na paste,
naomba msaada nadhani kuna kitu nina miss out lakni sijakijua ni nini?
kila picha ninayoweka inakuwa ndogo, picha zote ninazoweka ninatoka kwenye pc yangu
kuna mtu aliniamia copy and paste nimejaribu hiyo lakini naona hakuna kitu, ninatumia attachment au insert image ndio hivyo viduchu vinatokea.
nikiweka picha baada ya muda nakuta mtu ameweza kuikuza, wengine nimewatumia PM kuwauliza wanasema ni copy na paste,
naomba msaada nadhani kuna kitu nina miss out lakni sijakijua ni nini?