Unatembelea tovuti gani mara kwa mara?

Unatembelea tovuti gani mara kwa mara?

Mtazamaji

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
5,937
Reaction score
1,445
1. Google.com -Ni kama google ndo internet kwa sasa. inatwa search engine ila naita search answer website/engine. Inashangaza kuna watu wanakuwa wavivu wa kujishughulisha. Anauliza swali au tatizo fulani bila hata kusema kajaribu kulitaatuaje.Be active before ask something google it. Dunia ya sasa ni rahisi kuwa na ujuzi na kila kitu japo at the basic level sababu ya google.

2. yahoo.com -Free email account. Naona iko presentable na design yake ni nzuri. Japo nina account nyingine za hotmail na gmail yahoo kwangu is the best. Home page yao pia ina habari za kuelimisha.Kwa mpenda michezo pia wana tangaza michezo live kwa maandishi hasa michezo ya Mpira , formula1 na tennis
Binafsi naona kuliko kutangaza Tanzania kupitia CNN ni bora tutumie yahoo.

3. bbc.com au bbc.co.uk -Naipenda kwa hot news za kimataifa .tafiti, afya, teknolojia hasa web yao ya BBC NEWS | Programmes | Click. (clickonline)

4. jamiifrums.com- wakati wengine e -social network zao ni fb twitter kwangu mimi hii ndo e-social network site yangu. Hapa napata kujifunza mengi na watu wanakubali na kukataa kutofautina kwa hoja.Iwe ni michezo, siasa, dini mapenzi, teknolojia. Mijadala ya huru na wazi.kupitia jamii forum unaweza kupata habari muhimu za magazeti yote ya Tanzania.( Unauwa ndege wane kwa jiwe moja)

5. piratebay.org -Nawashauri wanafunzi na watoto wa wakulima wasisite kutembela site hii wakitaji vitabu vya kiada na ziada, movie, miziki hata software.Ni bure . Binafsi nimeokoa gharama nyingi mno.Hapa navyonadika nimemaliza kudowload music video ya waka waka wa shakira na nimeuweka kwenye simu. Naenjoy japo kiuno cha shakira kwa macho. Teh teh tehe. Japo wenye hii site wana kesi mahakamani usishindwe kushangaa imo katika site 100 bora duniani. na kwa tanzania imo katika top 20.

6. howstuffworks.com - Kwa wale wanapenda kujua mambo na vifaa fulani na teknolojia zinavyofanya kazi hii ni tovuti nzuri. Mfano Unaweza kueleza kwa kitaalam kifupi simu yako ya mkononi inafanyaje kazi?Unajua friji linafanyaje kazi.? CD na DVD zina tofauti gain kitaalam? Unaweza kupata majibu haya hata wikipedia.com lakini nakushauri usiache kutembelea howstuffwrks.

7. globalpublishers.info - Teh teh teh teh. Once au twice a week lazima nitembelee hii site nisome udaku. Inachekesha, inafurahisha na inakera pia lakini ndo life. Kumbe kuna udaku usiokuwa za kiuchumi,wala sio biashara unaweza kuwa news.ila naona mdau mkubwa anataka kuvaa jezi ya Chama tawalakuwa mbunge kwa hiyo vyama vingine vijiandae kuumizwa.

8. justin.tv- Hii ni site inayofanya video streaming.Kuna watu wana stream movie tena mpya mpya, kuna watu wana stream vipindi maarufu vya TV vinavyopendwa hasa ulaya.kuna watu wana strem documentary.
Nashangaa kwa nini taasisi zetu kama wizara ya utalii inashindwa kutumia njia hizi za bure kutangaz. Vivutio vya Tanzania.

9. myp2p.eu ,atdhe.tv na ustream.tv Hizi ni site za kustream michezo live. Huwa najiiba kucheki mpira hasa nikiwa mzigoni.

10. free-ed.net -Kabla hata sijazijua site nyingi nilizotaja hapo juu hii site ilikuwa kipenzi changu wakati nasoma.ina colletion ya masomo ya mambo mengi iwe ni hesabu- trigonometry, Uchumi, IT, nk . Site nyingine za kielmu nzuri kwa wanfuzi wa sekondary na vyuo ni http://www.khanacademy.org/ na http://academicearth.org/.

Je wewe ni tovuti gani unazitumia na kutembelea mara kwa mara?
 
Jamii forums mimi nambari one,inafutia Afroit,halafu Soccernet,Google,Yahoona cnet kwishne
 
1. Google.com -Ni kama google ndo internet kwa sasa. inatwa search engine ila naita search answer website/engine. Inashangaza kuna watu wanakuwa wavivu wa kujishughulisha. Anauliza swali au tatizo fulani bila hata kusema kajaribu kulitataje.Be active before ask something google it. Dunia ya sasa ni rahisi kuwa na ujuzi na kila kitu japo at the basic level sababu ya google.

2. yahoo.com -Free email account. Naona iko presentable na design yake ni nzuri. Japo nina account nyingine za hotmail na gmail yahoo kwangu is the best. Home page yao pia ina habari za kuelimisha.Kwa mpenda michezo pia wana tangaza michezo live kwa maandishi hasa michezo ya Mpira , formula1 na tennis
Binafsi naona kuliko kutangaza Tanzania kupitia CNN ni bora tutumie yahoo.

3. bbc.com au bbc.co.uk -Naipenda kwa hot news za kimataifa .tafiti, afya, teknolojia hasa web yao ya BBC NEWS | Programmes | Click. (clickonline)

4. jamiifrums.com- wakati wengine e -social network zao ni fb twitter kwangu mimi hii ndo e-social network site yangu. Hapa napata kujifunza mengi na watu wanakubali na kukataa kutofautina kwa hoja.Iwe ni michezo, siasa, dini mapenzi, teknolojia. Mijadala ya huru na wazi.kupitia jamii forum unaweza kupata habari muhimu za magazeti yote ya Tanzania.( Unauwa ndege wane kwa jiwe moja)

5. piratebay.org -Nawashauri wanafunzi na watoto wa wakulima wasisite kutembela site hii wakitaji vitabu vya kiada na ziada, movie, miziki hata software.Ni bure . Binafsi nimeokoa gharama nyingi mno.Hapa navyonadika nimemaliza kudowload music video ya waka waka wa shakira na nimeuweka kwenye simu. Naenjoy japo kiuno cha shakira kwa macho. Teh teh tehe. Japo wenye hii site wana kesi mahakamani usishindwe kushangaa imo katika site 100 bora duniani.

6. howstuffworks.com - Kwa wale wanapenda kujua mambo na vifaa fulani na teknolojia zinavyofanya kazi hii ni tovuti nzuri. Mfano Unaweza kueleza kwa kitaalam kifupi simu yako ya mkononi inafanyaje kazi?Unajua friji linafanyaje kazi.? CD na DVD zina tofauti gain kitaalam? Unaweza kupata majibu haya hata wikipedia.com lakini nakushauri usiache kutembelea howstuffwrks.

7. globalpublishers.info - Teh teh teh teh. Once au twice a week lazima nitembelee hii site nisome udaku. Inachekesha, inafurahisha na inakera pia lakini ndo life. Kumbe kuna udaku usiokuwa za kiuchumi,wala sio biashara unaweza kuwa news.ila naona mdau mkubwa anataka kuvaa jezi ya Chama tawalakuwa mbunge kwa hiyo vyama vingine vijiandae kuumizwa.

8. justin.tv- Hii ni site inayofanya video streaming.Kuna watu wana stream movie tena mpya mpya, kuna watu wana stream vipindi maarufu vya TV vinavyopendwa hasa ulaya.kuna watu wana strem documentary.
Nashangaa kwa nini taasisi zetu kama wizara ya utalii inashindwa kutumia njia hizi za bure kutangaz. Vivutio vya Tanzania.

9. myp2p.eu ,atdhe.net na ustream.tv Hizi ni site za kustream michezo live. Huwa najiiba kucheki mpira hasa nikiwa mzigoni.

10. free-ed.net -Kabla hata sijazijua site nyingi nilizotaja hapo juu hii site ilikuwa kipenzi changu wakati nasoma.ina colletion ya masomo ya mambo mengi iwe ni hesabu- trigonometry, Uchumi, IT, nk

Je wewe ni tovuti gani unazitumia na kutembelea mara kwa mara?
Senkyu dugu yangu
 
Duh, jamiiforums naona kila saa nafungua, yaani hapiti nusu saa nachungulia. I remember in 2008 baada kumaliza chuo, nilipata kazi kupitia hii kitu, Thanks alot JF!!!! nikahamia kwenye scholarships in 2009 mpaka nako kikaeleweka ingawa nilikacha. Now I am away ( out of Tz) lakini nahabarisha watu walio TZ kwa kupata habari haraka na kuwarushia hadi wanashangaa.

Google kwa ajili ya kusoma na www.soccernet.com kwa ajili ya michezi breaking news.

Thanks for the post!
 
Jamii forums mimi nambari one,inafutia Afroit,halafu Soccernet,Google,Yahoona cnet kwishne

AfroIT CNet na rapidshare nazo pia nazitembelea mara chache kama ilivyo youtube.
 
I check engadget.com as often as I possibly can.
 
labda niseme nishakuwa ADDICTED tayari na JF

FACEBOOK

U-TURN.CO.TZ -UMBEA

8020FASHIONS MAMBO MBALIMBALI YA WADADA

THEGREATLAKESMICMOVIES KWA AJILI YA MOVIES ZA KIBONGO:smilez::smilez:

NICE TOPIC...ngoja nione na wengine huwa wanabaruzi wapi...

 
labda niseme nishakuwa ADDICTED tayari na JF

FACEBOOK

U-TURN.CO.TZ -UMBEA

8020FASHIONS MAMBO MBALIMBALI YA WADADA

THEGREATLAKESMICMOVIES KWA AJILI YA MOVIES ZA KIBONGO:smilez::smilez:

NICE TOPIC...ngoja nione na wengine huwa wanabaruzi wapi...


Ngoja leo niwe mgeni wa THEGREATLAKESMICMOVIES . Thank you
 
Mimi huwa naanza na jamiiforums kwnza halafu hizo zingine zitakuwa "imbedded" humohumo.
 
Binafsi haiwezi pita siku bila kutembelea Jamiiforums na AfroIT,halafu Michuzi inafuatia kwakuwa China haipatikani hadi kwa proxy,dah! halafu qq.com na yahoo ndio zinajikongoja.
 
iyo thepiratebay.org inaharibu kazi za watu tunawaomba watu mussingie hiyo site! inaprovided pirated software which is against Law! Remove it plz wewe first poster wa hii thread
 
iyo thepiratebay.org inaharibu kazi za watu tunawaomba watu mussingie hiyo site! inaprovided pirated software which is against Law! Remove it plz wewe first poster wa hii thread

Inaharibu kazi za watu gani mtaalam?Unajua Tanzania kuna vitu vingi ambavyo ni against the law tena vinaumiza uchumi wa taifa na bado vinafanyika. sasa sembuse piratebay.org ambayo huwezi kukuta

  • Movie ya kanumba wala muziki wa prof au kitabu cha Amandina Lihamba .
  • software za mtanzania
Mbaya zaidi kuna wataalam wachache wanatumia site kama hizi kupata copy ya softwae na kisha kuwagonga wateja kwa bei kama vile ni halali. Mwambie mteja hii kitu ni ya mazabe so fidia ghaama za muda wangu.

Jaribu kunishawishi kwa vipi hii website inaharibu maisha ya watanzania kuliko kuwasaidia.
 
stuff on pirate bay ain't free. stop lying. we're stealing software, movies, music
 
stuff on pirate bay ain't free. stop lying. we're stealing software, movies, music
Its not stealing its sharing as long as sijawai kukuta kazi ya mtanzania hiyo site itaendelea kuwa amaong prefarable site yangu
 
Back
Top Bottom