Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Uimara wa kitu ni wewe na matumizi yako hapo cha kuangalia ni jee spare zipo?
Uimara wa kitu ni wewe na matumizi yako hapo cha kuangalia ni jee spare zipo?
try to visits spare shops ucheki kama spare zipo na zinapatikana kama zipo vuta kitu maana kimetulia sana.hilo ni suala la msingi mkuu. Vipi hilo limekaaje mtu wangu? Maana spare ni issue mkuu
mkuu upo fiti mfukoni maana ngoma ina cc2700!!