MSAADA KUHUSU UBORA NA UIMARA WA Hyundai Trajet KWA TZ

Paul Kijoka

JF-Expert Member
Oct 25, 2010
1,399
255
Wakuu, naomba msaada wenu kuhusu uimara wa hyundai trajet hasa kwa mazingira yetu ya Tanzania.

01w.jpg

Iko kama Toyota Gaia, ina abiria 7 ukiongezea na dereva. Nataka kulinunua wakuu.
 
Back
Top Bottom