Naombeni msaada wa "softwire" itakayo iwezesha pc yangu kutuma sms. pili naombeni softwire ya kuweza ku "locate" simu ilipo!
Nataanguliza shukrani!
​
Nahitaji kubadili windows xp to window 7 home basic, nina soft ware ya w 7 hb. Naomba mwongozo sina utaalam huo.
Natanguliza shukrani zangu kwenu Wana JF
Habari wakuu.
Jamaa yangu ana mpango wa kuanzisha FM radio mjini Dar (tayari ana leseni na frequency). Anatarajia kuunganisha matangazo toka Dar kwenda kwenye vituo vya kurusha matangazo katika...
I'm sure you are familiar with the traditional way to kill or end a process in Windows using Task Manager. This method is effective but not nearly as fun as killing a process in Command Prompt...
Habari zenu wana JF wenzangu!
Kutokana na tatizo hili la poor 3g signals kusumbua wengi,nimeamua kuandika kwa mara ya 3 njia nyingine ya kuongeza signals za 3g endapo utakuwa mbali na mjini ama...
How would you like to change the logon screen background in Windows 7 so as to give your Windows a customized look and feel? With a small tweak it is possible to customize the Windows 7 logon...
Wajumbe samahanini hiv katika ufuaji wa nguo kuna baadhi ya nguo huwa zinachuja rangi(kuacha rangi yake katika maji pindi ufuapo) je kuna mchanganyiko wa kitu au kemikali inayoweza kuzuia tatizo...
je Umewahi kuztaza hii dcuemntary video kuhusu consipircay theory ya HIV AIDS?
Nni chanzo cha HIV na nini inaweza kuwa chanz cha AIDS? (kwa mujibu wa mawazo mbadala...)
Tazama hii shocking...
Wadau, naomba mnisaidie, nilinunua laptop ya hp pavillion dv9000, ya mtumba yenye window 7,kufika nayo huku kijijini, nikifungua my computer sion cd rom,na hata ukiweka cd inazunguka tu haisomi.
Cheki huu mfano,nunua usb cable extension na utumbukize modem yako kwenye chombo cha aluminum.utapata signals za ukweli!
HIYO PICHA YA MWISHO KULIA NIMEJARIBU KUONYESHA MODEM IKIWA BADO...
There is a problem with this website's security certificate.
The security certificate presented by this website has expired or is not yet valid.
Security certificate problems may...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.