mabina JF-Expert Member Joined Nov 2, 2009 Posts 228 Reaction score 39 Jul 15, 2011 #1 Wanajamii wenzangu naomba msaada ni jinsi gani nitaweza kpiga na kpokea simu kwa ktumia moderm yangu?
Wanajamii wenzangu naomba msaada ni jinsi gani nitaweza kpiga na kpokea simu kwa ktumia moderm yangu?
ndetichia Platinum Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,589 Jul 15, 2011 #2 unamaanisha modem au modern..
U uporoto01 JF-Expert Member Joined May 23, 2008 Posts 4,698 Reaction score 1,429 Jul 15, 2011 #3 mabina said: Wanajamii wenzangu naomba msaada ni jinsi gani nitaweza kpiga na kpokea simu kwa ktumia moderm yangu? Click to expand... Inabidi uwe na earphone tu unaichomeka na kwenye sehemu ya wawezeshaji wako(kampuni) chagua call na namba zitatokea piga na uongee.
mabina said: Wanajamii wenzangu naomba msaada ni jinsi gani nitaweza kpiga na kpokea simu kwa ktumia moderm yangu? Click to expand... Inabidi uwe na earphone tu unaichomeka na kwenye sehemu ya wawezeshaji wako(kampuni) chagua call na namba zitatokea piga na uongee.
mabina JF-Expert Member Joined Nov 2, 2009 Posts 228 Reaction score 39 Jul 15, 2011 Thread starter #4 Ok, ahsante vipi unaweza ukaweka loudspeaker?