Simu imeokotwa, maeneo ya Mlimani City jana asubuhi ikiwa haina chaji. Leo imewekwa chaji, ina PIN kwenye maeneo yote haiwezekani kuiwasha.
Kwa aliye poteza simu maeneo ya Mlimani City siku za...
The Bugatti Veyron is a modern automotive legend. The sleek speedster from Volkswagen boasts a top speed of over 260mph, making it the fastest road-legal car in the world, and it has a stunningly...
Nawasalimu wana jf? Mimi bwana nimeanza kutumia hii huduma ya dstv mobile ya vodacom, na huduma hii walivyotangulia kutangaza, walisema huduma hii ni bure, lakini cha ajabu ninapotazama channel...
Hi
wanateknolojia.
Kama mnavyojua nchi yetu ni ya kisiasa zaidi. Na hata sisi wenyewe tu wanasiasa. teh teh teh
Sasa nimepta wazo kutokana na mambo mazuri na mabaya yanatoea ingekuwa vizuri...
Halow JF
KUANZIA TAREHE 23/JUNE WALE JAMAA WA SYMBIANSIGNED WAMEBADILISHA SITE YAO SO HAWATATOA .cer na .key ANYMOREEEEEE
SO HUTAWEZA KU HACK SIMU TENA..KAMA ULISHAWAHI KUPATA .CER NA .KEY...
Nimefungua group hapa JF ila natak kubadilisha jina lake kutokana na ukweli kuwa malengo na mtizamo wa group umebadilika kidogo.
naomba msaada jnsi ya kubadilisha group name, maana naona option...
Hi!
Nachukua shahada ya uhandisi yaani 'Electronics & Communication Engineering',
nakaribia kujiandaaa kufanya project kwa ajili ya kumaliza, kichwani kwangu nahisi sina mwongozo wa kutosha...
jamani tahadhari hii hapa,
wote mliokunywa kikombe kwa babu na kuacha kutumia dawa zenu yanaweza kuwakuta makubwa,
nina rafiki wa karibu alikuwa anatumia ARV alivyorudi kutoka kwa babu akaacha...
WanaJF wenzangu mambo vp?.Naombeni msaada wenu wakuu kwenye simu yangu ya Nokia N93i imekumbwa na tatizo la kutofanya kazi kabisa nikiiwasha inaniandikia PHONE START-UP FAILED.CONTACT THE...
wakuu habari za saa hizi poleni na majukumu..wakuu naombeni msaada wa activation keys za window vista home premium na hitaji sana..natanguliza shukrani za dhati..
Apple Mac OS X Lion goes on sale todaykatika pitapita yangu nimeona hii habari njema kwa wapenzi wa Mac. Nimeona tushee.
Hii upgrade ni 4GB na hakuna njia nyingine ya kuipata except kudownload...
Hallo wana JF,
Naomba ikiwa kuna yeyote anayefahamu namna ya kuconvert PDF document au mwenye software hiyo anisaidie tafadhali. I have something in PDF that I have to convert to word doc and my...
7 Most Notorious Computer Hacker Groups of All Time
With the recent attack on PlayStation Network and a bunch of high-profile websites, computer hackers are back in the limelight again. Hackers...
Jamani sayansi ya HEP inaruhusu kurecyle maji kwenye mabwawa yetu au yanakuwa yamechafuka hayafai?
maana wanasingizia maji yameisha na masika yameisha juzi je mwezi wa kumi si kutakuwa giza...
Browse Facebook on mobile witthout Internet Connection
Singaporebased software applications developer U2opia Mobile has developed a new application for mobile phones that will allow users...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.