<BR><BR>Tumia OMO
OMO iko poa coz ina vipimo sahihi kwenye nguo zenye rangi foma wala usijaribu coz hawa wahindi wanataka kushindana na wakenya so wamezidisha vipimo matokeo yake unaharibu mikono pamoja na nguo<BR><BR>
OMO ndo balaa! Labda uchanganye na hiyo chumvi.