MTAMBOKITAMBO
Senior Member
- Jun 2, 2011
- 194
- 39
hapa aluminum inatumika kukusanya signals mkuu!jaribu hata sasahiv uone.kaka naamini itaongeza speed lakin what is the mechanism hapa? Kesho ntajaribu na ntatoa feedback pia!
mkuu hapa naomba ufafanuzi zaidi wa hizo cablehii safi. ila kwa watakaotumia usb extension cable wawe makini. waya wa USB uwe ule unaongara (shinning) na usiwe ule usiongara (dull) waya unaongara ni special kwa ajili ya kuzuia data zisipotee njiani kutoka kwenye modem yako hadi kwenye computer yako. kama unazo waya zote mbili jaribu utasema ndio.
Cheki huu mfano,nunua usb cable extension na utumbukize modem yako kwenye chombo cha aluminum.utapata signals za ukweli!
View attachment 32730View attachment 32731View attachment 32732
HIYO PICHA YA MWISHO KULIA NIMEJARIBU KUONYESHA MODEM IKIWA BADO HAIJAWEKWA KWENYE KIKAANGIO,MSIJE MKASAHAU KUICHOMEKA KWENYE PC AMA LAPTOP BURE!