Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wadau samahanini mie nnataka kuelewa kuwa hivi kwa jinsi marumaru(usually small white blocks) zilivyoundwa material zake za kutereza sasa mbona nazo pamoja na kuziosha mara kwa mara zinashika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello jf!!hyo simu tangu niinunue nimeshndwa kuapload pcha,kwa yeyote anaejua anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hellow, Jinsi ya kudownload Free Application From Ovistore to ur PC ni rahisi sana na haiitaji ku Hack wala nini!!! Wengine watasema kwann udownload kwa PC, Jibu ni kwamba sometime kudownload...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salaam zenu wana JF ... Nina wazo .. since kuna facebook APPS, Twiter Apps .. etcl wataalam hili jukwaa naona mnafanya kazi nzuri sana kwa kutoa majibu kwa wale wote wnye matatizo bila kejeli...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Katika pitapita yangu nimemkuta kijana anauza moderm ya ZTE nodel no. AC8710, binafsi sina ujuzi wowote wa kuitumia kwani nimejaribu kuistal kwenye machine yangu naona haifanyi kazi naomba msaada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari za kazi,poleni na majukumu. Naombeni msaada kuhusu simu yangu naona imenigomea kimtindo gafla tu nashangaa imeniandikia phone restricted,sasa ukibonyeza Undo Inaniambia ni enter...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Please kama kuna yeyote mwenye beat making software for biginners nzuri au wapi naweza download for free anisaidie
0 Reactions
3 Replies
1K Views
guys nmehamia huku mbezi luisi sasa modem yngu impungua speed kinoma (napata EDGE) ! is there any technique i can use to improve the speed!??
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kompyuta yangu ina os 2, moja ya linux na siitaki ila nashindwa kuitoa, nikifungua os ya windows files zake sizioni. Msaada pls!
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naombeni mnisaidie jaman maana ina vitu vya ofisi, JINSI YA KUTOA PASSWORD MM CJUI
0 Reactions
11 Replies
2K Views
http://facebook-profile-pictures.blogspot.com/
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Brought that shiny new unlocked iPhone 4 home to Tanzania, only have your first App Store experience end in tears? We certainly sympathize, andapparently Apple's heard your plea.Interested...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Wataalamu, Naomba msaada wa nini naweza kufanya ili kujua/kugundua kama nimekuwa blocked ku-chat katika yahoo Messenger na mtu ambaye siku zote nimekuwa na-chat nae ila ghafla simwoni online wala...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waungwana, naomba kama kuna mtu ana software ya Adobe Audition aniwekee hapa ni-idownload. Natangulisha shukrani zangu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana jf naomba msaada kwa hili nimejaribu ku download file la movie kwenye filesonic limekuja kwa format ya winrar kila nikijaribu kuli extract ili lifunguke kwa winrar linafunguka likifika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
tafadhali wakubwa wa jamii forums nina wapsite moja http://wabongoo.tk niliiitengeneza kwa lengo la watu kuweza kupata phone downloads(hasa hapa bongo) kama vile nyimbo,application,themes hata...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Chonde chonde, kuna kirusi hatari katika mawasiliano ya mfumo wa kompyuta. Tafadhali chukua tahadhari.Fuata link hii kwa taarifa zaidi: ConnecTechs Network Solutions
0 Reactions
1 Replies
2K Views
We use very simple Technology to Create this Radio station.. we don't have any frequency but we are using internet only... the Radio Broadcasting from Upanga Dar es Salaam.. and u can listen...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Hello thar FBI and international law authorities, We recently stumbled across the following article with amazement and a certain amount of amusement: FBI Tries To Send Message With Hacker...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mimi natarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu wa masomo 2011/2012.Je chuo kama UDSM kitaanza lini masomo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wanaotegemea kujiunga mwaka huu? Naomba mwenye taarifa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…