habari wakuu

tata mvoni

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
534
81
mimi natarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu wa masomo 2011/2012.Je chuo kama UDSM kitaanza lini masomo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wanaotegemea kujiunga mwaka huu? Naomba mwenye taarifa anijuze.
 
mimi natarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu wa masomo 2011/2012.Je chuo kama UDSM kitaanza lini masomo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wanaotegemea kujiunga mwaka huu? Naomba mwenye taarifa anijuze.

kwa hilo swali lako tu japo hujaanz chuo tayari una sup moja.

Tumia akili zilizokuwezesha wa kuchaguliwa kuingia chuoni kujua tarehe.Au umependelewa?!!!!!

UDSM kuna number zao za simu za idara mbali mbali zipo mtandaoni. Nenda "google andika Univertsity of Dar es salaam" au DARUSO ...........
 
Sap zingekuwa zinatolewa kwa mtindo huu wangapi wangefaulu? Hata chuoni kabla hujapata sap unakuwa umeshafundishwa/kueleweshwa, sasa wewe hujamfundisha unampa sap!!!!!!! Nadhani hufai kuwa kuwa mwalimu maana wanafunzi wote watafeli.
 
Sap zingekuwa zinatolewa kwa mtindo huu wangapi wangefaulu? Hata chuoni kabla hujapata sap unakuwa umeshafundishwa/kueleweshwa, sasa wewe hujamfundisha unampa sap!!!!!!! Nadhani hufai kuwa kuwa mwalimu maana wanafunzi wote watafeli.

Sasa msomi kafanikiwa mpaka kujiunga chuo. Anajua hata kutumia jamiiforum bado unateteta kuuliza swali kama hilo. si ndio watu wa namna hii umemfudisha hesabu za kutoa kwa mfano wa 4-1= 3. Kesho ukimuuliza 6-2 anakumwambia hujanifundisha.

Ndio hapo unaona watanzania japo tunasoma sana bado hatuelimiki. Usishangae kuna watu wamesoma sana mpaka wana phd au wanaitwa ma prof lakini hawajaelimika. Ndio maana unona hata Tanzania iko kama ilivyo. Tumekariri.

Kwa hiyo mkuu usitetee uzembe.Muuliza swali sio mtoto wa darasa la saba
.
 
Sasa msomi kafanikiwa mpaka kujiunga chuo. Anajua hata kutumia jamiiforum bado unateteta kuuliza swali kama hilo. si ndio watu wa namna hii umemfudisha hesabu za kutoa kwa mfano wa 4-1= 3. Kesho ukimuuliza 6-2 anakumwambia hujanifundisha.

Ndio hapo unaona watanzania japo tunasoma sana bado hatuelimiki. Usishangae kuna watu wamesoma sana mpaka wana phd au wanaitwa ma prof lakini hawajaelimika. Ndio maana unona hata Tanzania iko kama ilivyo. Tumekariri.

Kwa hiyo mkuu usitetee uzembe.Muuliza swali sio mtoto wa darasa la saba
.

ha ha haaa...ulichosema ni kweli kabisa mkuu
 
kweli jamii forums raha kuna wa2 wanachangia maada kama vile wamekatika vichwa! We m2 kauliza swali badala ya kumjibu unazunguka mbuyu kama hujui si ukae kimya tu? Wa2 wengine bana
 
Duuh umekua poyoyo kwel. hili swali la kitoto kwel kwel jambo kama hilo unaweza kupiga simu udsm au kutembelea tovuti yao.
 
kweli jamii forums raha kuna wa2 wanachangia maada kama vile wamekatika vichwa! We m2 kauliza swali badala ya kumjibu unazunguka mbuyu kama hujui si ukae kimya tu? Wa2 wengine bana

Hujakosea na hata na maswali mengine wanayouliza watu walichaguliwa UDSM Usishangae siku hizi wanachukua hata wa DIV IV na Zero.

 
mimi natarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu wa masomo 2011/2012.Je chuo kama UDSM kitaanza lini masomo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wanaotegemea kujiunga mwaka huu? Naomba mwenye taarifa anijuze.
dogo usihofu sana wadau wanakupa changamoto chuo kitafunguliwa mwezi wa kumi.
 
Nenda jukwaa la elimu watakujibu vizuri sana ukiuliza swali kama hilo kwenye jukwaa la wataalam kama hili utachanganyikiwa na majibu utakayopewa
 
Back
Top Bottom