msaada,wazo,maoni kwenye hii wap

msaada,wazo,maoni kwenye hii wap

newtonfox

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
217
Reaction score
93
tafadhali wakubwa wa jamii forums nina wapsite moja http://wabongoo.tk niliiitengeneza kwa lengo la watu kuweza kupata phone downloads(hasa hapa bongo) kama vile nyimbo,application,themes hata video etc >>>>> hiyo wap niliandaa kabla sijaanza kujua html,php,css march 2010 mpaka wa leo walau ninaidea na hayo mambo langu jambo nilikua naomba msaada juu ya kuboresha wapsite hii ili niweze kupata vistors na hiwe poa kiujumla sasa lipi la kuongezea ? kutoa? yoyote myenye idea,ushauri naomba kusudi niweze kufanyia kazi napenda sana simu...... na naona wivu kuona za wengine zinashine then yangu inabaki kuwa nyuma ni hayo tu......
 
Mkuu mi nadhani umtafute huyu jamaa

::BONGO MUZIKI::

naona anapata visitor wengi na kwa siku hits zake zipo juu sana,

mi napendelea kudownload nyimbo toka kwake za kibongo

I hope it will help!!

cheers!!
 
kaka mbona sisi wa windowsmobile 6./5 hamtusaidi tunataka apps na themes.
ukitaka upate views nyingi kiwa una update vitu vyako facebook na twitter pia ji register google nina blog mimi nimepost mara 94 but nina viwers buku na
 
ah huyo wabongoo mzushi tu ajua sana njia gani watu wa xtgem twatumia kuongeza watu kuna kama kupeleka kwenye wap directory mtop.me, besttop.mobi....etc kuna free advertising zenye link exchange kama adshub.net na adsalvo

pia watakiwa ucreate facebook na twiter page ulink na wapsite yako ili watu waweze kushare kwenye wall zao

njia ya mwisho ambayo ni strong watakiwa uongeze content za wapsite yako ili mtu akija mara moja awe na hamu ya kuja tena

mimi average napata visitor 200-900 per day kwenye ka wapsite kangu kanipatia visent hemedans.xtgem.com
 
hamedans huna uhakika about vistors nsha jiregister huko the bad thing nadhani only updates ndizo zinazomiss but kama besttop mtop huko hakuna taabu let me think into deep then ntacheki which will be good
 
Kama mpo serious, nipeni email zenu niwatumie kitabu mjifunze HTML, XHTML, CSS & JavaScript.

Mna safari ndefu, ila msikate tamaa.

Email yangu ni jjosy2000@gmail.com
 
hamna hizo wapsite ni za wamiliki tofauti brother send me dat book nimeshakuinbox thanks in advance
 
Newton hongera ba asante maana angalau nimeweza kudownload nyimbo kadhaa.

Sharobalo umenichosha na hiyo link ya best yako maana hata siku moja sijawahi kufanikiwa kudownload kitu.
 
Nshapata mkubwa sitosahau kusema thnxxxxxxxxx big up xparster we mkale
 
Back
Top Bottom