Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wakuu naombeni msaada, nina flashi yangu ndani ina mambo mengi ila nikitaka kuyafungua hayaonekani ila yanaonekana ktk computer moja tu, nifanyeje ili niweze kuyaona (Hidden files and folders)
0 Reactions
4 Replies
916 Views
kuna laptop cjui nimebonyeza wapi nlipokua nafungua internet basi imekuja language ambayo hata sielewi..naomba mnielekeze setting mana nashndwa kufungua gmail wala chochote..msaada wenu plz
0 Reactions
1 Replies
807 Views
IDM ikianza kudownload kuna kimessage kinasema ''A socket operation was attempted to an unreachable network, This usually means the local software knows no route to reach the remote host''.msaada...
0 Reactions
1 Replies
968 Views
wakuu kwenye hii simu yangu ya E2222 kuna option ya ActiveSync ambayo unaweza sync contcts zako kwenda kwenye serva incase of phone loss unaweza kwenda kwenye pc ukalogin naku retrieve data zako...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Wakubwa mambo vp? Natumaini wote wazima. Ndugu zangu nina tatizo kuhusu kuchakachua modem ya huawei e153,huwa napenda kutumia huawei modem unlocker ya temporaly,sasa pc ambayo natumia ni service...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
ok guys kuna wale watu wapo vyuoni au makazini then unakuta kuna website flan flani zimekua blocked. Mfano udom pale facebook ipo blocked so kwa kutumia trick hii uta unblock hizo website Kama...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
jamaan hizi ndo detail za modem yang nsha jalib ku unlock inmenshinda nsaidien selection : manufacturer - Huawei modems model - Huawei E153 (Tigo Tanzania) Found modem : E153 Model...
0 Reactions
0 Replies
659 Views
Wakuu naomba ufafanuzi kwani hii modem yangu ya Airtel wakati mwingine inasomeka EDGE Airtel Tz wakati huo Modem inawaka taa ya kijani na inakuwa slow sana lakini ikiwa HSDPA inawaka mwanga wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wakuu naomba msaada hapa, nina subaru forester 1998 model,taa ya check engine kila wakati inawaka na kuzima,imeanza week iliyopita,tatizo litakuwa ni nini??je kuna madhara gani naweza pata ndani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Repair Your USB Driver Problems After a USB device is "safely removed"/un-installed Windows hides the drivers. These hidden drivers may cause conflicts with other USB devices when they are...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza BLACKBERRY CURVE 3G 9300 ni nzima haina tatizo lolote,bei ni Tsh 150,000 tu! Ukiiihitaji nipigie simu 0655 44 44 40.kava ndo kidogo limechoka.
0 Reactions
2 Replies
967 Views
How would I transfer airtime from airtel modem to my airtel number?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Detect Hidden Trojans on Your Computer Learn How to Detect Hidden Trojans/Viruses/Keyloggers on Your PC Are you beware that there is a hidden Trojan, Virus or Keylogger working on...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu naomba mnisaidie computer yangu inaleta msg hii ninapoiwasha "The application failed to initialized properly" (0 x 80000003) na haiendelei tena na kuload icon za desktop
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Simu yangu ni NOKIA 2690.Kama ilivyokawaida kwa simu za kisasa,simu yangu ilikuwa na calculator nikaiweka kwenye shortcut key kwenye right click. Jana nikawa nafanya simple calculations ikaadika "...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wadau wa jamvi hili, naomba msaada kujua kama kuna njia ya kuset password katika folder. Kama ipo inawekwaje? Tafadhali kwa mwenye taarifa share na sisi maujanja.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
jinsi ya kumgundua mtu aliye jificha kwenye yahoo messenger yahoo invisible tumia yahoo cheker utaweza kumjua kama yuko on line au off line ingia hapa Yahoo Invisible Checker can Detect...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wataalamu naomba msaada nimedownload game ya ferrari virtual race.sasa nataka ku play inaniambia error graphic adapter does not support minimum requirements! Natumia aspire one d255 memory...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Zenu wakuu? Naomba kama kuna anayefahamu namna ya kuongeza uzalishaji wa mahindi shambani kwa kutumia mbolea asili ya miti iitwayo "Fertlizer Trees" anisaidie. Hii miti huwa inabadirisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kumekuwa na tabia ya watu wanapopokea simu huigeuza na kusikilizia nyuma hii ni hatari. Mionzi ya mawimbi ya umeme ambayo hugeuzwa kuwa sauti kutoka katika mnara wa simu hupokelewa au...
8 Reactions
48 Replies
6K Views
Back
Top Bottom