Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wadau mimi natumia nokia x2, na nimedownload operamini 6.5 ambayo ndio natumia kwenye intaneti sasa tatizo linakuja kwenye ku-upload picha ambapo net huwa ina-load bila mafanikio yoyote...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za wasaa huu wanajamvi, mwenye kujua muda kati ya Tanzania na Holland naomba anijuze. Sababu sijui tumepishana kwa masaa mangapi.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Salaam nyingi kwenu wadau,, Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata audio ya free style alofanya godzila kutengenezea jingle ya tangazo la kipindi cha supaMix EA Radio cha Zembwela Na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hebu wataalam wa haya mambo ya computer mnipe maujanja ya namna ya kufungua/kutumia computer bila kuifahamu user password
1 Reactions
33 Replies
11K Views
Eugene Polley, the inventor of the television remote control, has died at the age of 96. His original design, named the Zenith Flashmatic, was created in 1955 but it was not until the 1970s that...
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Pc yangu ina tatizo la kuwa nzito kiasi kwamba nikiwa na copy data kutoka hapa kwenda pale na wakati huohuo nimeplay muziki,basi mziki utaanza kuimba kwa kuvutaa aka kukoroma.Tatizo ni...
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Habari wakuu, ok kuna research flani hivi nafanya (ni kulingana na mishemishe zangu za kila siku ninazofanya) sasa imefika wakati inanibidi nijue mitandao yetu ya simu wanatumia modem (usb dongle)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakubwa, Naomba unlock code ya LG CU920 tafadhali. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna fundi wa madishi amenijulisha juu ya King'amuzi cha Abu Dhabi Sport. Ameniambia kuwa ni cha michezo tu na kupitia Abu Dhabi sports decorder nitapata hata ligi za soka za Amerika Kusini...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
e.tv imekuwa scrambled channel kwa muda sasa..nimesikia kuna watu wana unlocking keys zake kupitia viaccess1..plz mwenye unlocking keys zake au za channel yoyote atupie hapa!!!
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu, Napenda kiwatangazia kuwa najailbreak na kutoa loki iphones especially 3gs na iphone 4 hapo hapo na kwa bei nafuu! Pm me kwa hiyo service if you want
0 Reactions
0 Replies
798 Views
HELLO ALL YOU DONT HAVE TO PASTE your PIN HERE AND START WAITING JUST GO TO THE LINK BELOW AND ACTIVATE YOUR SELF:RepliGo Reader for BlackBerry Activation : Cerience Corporation From your...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wana Jf .... Hivi wakati nachat kwenye facebook, vipi naweza kumtumia mtu picha(photo attachment) na akaipata katika kibox cha kuchat? Thanx in advance
0 Reactions
0 Replies
8K Views
nmeona wameniandikia conection za WIFI NA VPN. SAsa vpn ni nini na inaungwa vp maana ina ulisa description sever account rsa secur id passworld af sever port so hv najazaje then na i...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimeangalia hii picha on IssaMichuzi na najiuliza, hapa kweli hapana maafa? Baadae isiwe ikawa ishu jamani!!!! http://1.bp.blogspot.com/-mlLgxBXy-48/T7uaFWil3WI/AAAAAAABbCg/eiTIbBvxzTU/s1600/4.jpg
0 Reactions
0 Replies
913 Views
kwa wakuu kwenye google talk id si mbaya mkangusha id zenu hapa tuweze kuwasiliana hususan mambo ya tech zaidi,nkianza na yangu mwenye masterg1990@gmail.com,NAWASILISHA!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada, nina flashi yangu ndani ina mambo mengi ila nikitaka kuyafungua hayaonekani ila yanaonekana ktk computer moja tu, nifanyeje ili niweze kuyaona (Hidden files and folders)
0 Reactions
4 Replies
914 Views
kuna laptop cjui nimebonyeza wapi nlipokua nafungua internet basi imekuja language ambayo hata sielewi..naomba mnielekeze setting mana nashndwa kufungua gmail wala chochote..msaada wenu plz
0 Reactions
1 Replies
804 Views
IDM ikianza kudownload kuna kimessage kinasema ''A socket operation was attempted to an unreachable network, This usually means the local software knows no route to reach the remote host''.msaada...
0 Reactions
1 Replies
968 Views
wakuu kwenye hii simu yangu ya E2222 kuna option ya ActiveSync ambayo unaweza sync contcts zako kwenda kwenye serva incase of phone loss unaweza kwenda kwenye pc ukalogin naku retrieve data zako...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Back
Top Bottom