Habari za week end wakuu. Naomba msaada wenu juu ya namna ya kurekebisha tatizo hili kwenye simu yangu. Natumia Nokia 2730. Ninapoingia kwenye internet na kutaka ku-download kitu e.g. image...
Computer yangu ina siku 4 ukiburn cd inatoka yenyewe.Nikafika hatua ya kubadilisha Cd Empty ikagoma na pia nikanunua Dvd writter nyingine bado yale yale.Ikifeli ku burn inaadika ''Power...
Naomba kuuliza.nina kompyuta aina ya dell,monitor ni flat screen sasa kwenye hii monitor kuna USB port 3.je?naweza kutumia?kama ndio vipi?ntashukuru kwa watakao nifumbua.
kila nikiadd code kwenye cas wakati wa kufanya application message inakuja imeandikwa ivi ERROR!!, INVALID ENTRY, MAKE SURE YOU ADD THE CORRECT PROGRAM CODE AS IT IS WRITTEN FROM THE GUIDE BOOK...
kuna software inakuwezesha kupata free internet ya basi la rangi ya kijani lakini two hours free. baada ya hapo inakubidi ulipie dola 3.0. malipo wanayokubali ni kutumia liberty reserve tu. kama...
Jamani mimi nimekuwa nikitumia simu za kichina kwa muda mrefu sasa nimeamua kujivua gamba na kununua Blackberry! sielewi vitu hivi kwenye Blackberry-BB torch, BB curve, BB style, BB bold, BBM...
habari wenu wanaJF,
naombeni mnisaidie niweze kujua ni jinsi gani naweza kuconnect remotely computers zinazotumia windows7 ziweze kuwasiliana kwa kutumia internet...na pia mtu wa computer moja...
Wakuu naombeni msaada kwa wale ambao wamewahi kutumia galaxy note na galaxy tab, nimekuwa nikitumia ipad 2, lakini kuna features nyingi ambazo nakuwa limited kuzipata including flash player...
Habari wakuu!
Wadau nimepata dili la kutengeneza vitambulisho na software niliyonayo ni MS Publisher,
Je naweza print IDs za watu tofauti ktk sheet moja kwa kutumia software hiyo?
au kuna softwar...
wanajamii naombeni msaada wenu kwenye kompyuta yangu, ninapoiwasha kompyuta inawaka fresh but inakaa dakika kama 3 na kutokea rangi ya blue na maneno yanayosema
STOP:c000021a {Fatal System...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.