HSDPA - Ina maana gani?

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,277
6,673
Wakuu naomba ufafanuzi kwani hii modem yangu ya Airtel wakati mwingine
inasomeka EDGE Airtel Tz wakati huo Modem inawaka taa ya kijani na inakuwa
slow sana lakini ikiwa HSDPA inawaka mwanga wa Bluu na inakuwa Faster ajabu!
naomba kufahamishwa kwanini inatokea hivi? vitu hivi viwili vinatofautiana vipi?
 
High-Speed Downlink Packet Access ,ukiwa kwny edge huwezi kupata 3.7G ila ukipata signal za hsdpa unaweza kupata more signal za 3.5+
 
High-Speed Downlink Packet Access ,ukiwa kwny edge huwezi kupata 3.7G ila ukipata signal za hsdpa unaweza kupata more signal za 3.5+
Ahsante mkuu, sasa inakuwaje mpaka unaipata hii na wakati mwingine unaikosa
Modem ni ileile?
 
Back
Top Bottom