GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Wakuu naomba ufafanuzi kwani hii modem yangu ya Airtel wakati mwingine
inasomeka EDGE Airtel Tz wakati huo Modem inawaka taa ya kijani na inakuwa
slow sana lakini ikiwa HSDPA inawaka mwanga wa Bluu na inakuwa Faster ajabu!
naomba kufahamishwa kwanini inatokea hivi? vitu hivi viwili vinatofautiana vipi?
inasomeka EDGE Airtel Tz wakati huo Modem inawaka taa ya kijani na inakuwa
slow sana lakini ikiwa HSDPA inawaka mwanga wa Bluu na inakuwa Faster ajabu!
naomba kufahamishwa kwanini inatokea hivi? vitu hivi viwili vinatofautiana vipi?