Wakuu naombeni msaada, nina flashi yangu ndani ina mambo mengi ila nikitaka kuyafungua hayaonekani ila yanaonekana ktk computer moja tu, nifanyeje ili niweze kuyaona (Hidden files and folders)
Okay fanya hivi.
>weka flash yako kwenye moja ya USB port,
>Angalia flash yako imepewa jina (drive) gani, kama ni G au H etc,
>kabla hujaifungua, bofya start , type cmd halafu bonyeza enter (kwa ufupi fungua command prompt)
>Angalia flash yako imepewa jina (drive) gani, kama ni G au H etc,
> Katika command, type jina la flash likifuatiwa na alama : bila kuacha nafasi,
mfano jina la flashi ni H, sasa andika H:
Kisha enter,
Baada ya hapo chapa herufi zifuatazo
attrib -s -h -r /s /d
Kisha bofya enter
Fungua flash yako na files zote zitakua zimerudi.
Exclusively 2zone computers support
2zone & company - Home
Kwa msaada zaidi pigia sisi
+255719792703
Ni tech kidogo tu ila kuna kampuni inachaji hadi laki nne kusolve kijitatizo hicho
Enjoy,
Ushauri, tumia antivirus inayoeleweka na uiupdate mara kwa mara
Mfano
2zone & company - Blog: Kaspersky Antivirus 2012