Tundapori
JF-Expert Member
- Aug 12, 2007
- 645
- 260
Zenu wakuu?
Naomba kama kuna anayefahamu namna ya kuongeza uzalishaji wa mahindi shambani kwa kutumia mbolea asili ya miti iitwayo "Fertlizer Trees" anisaidie.
Hii miti huwa inabadirisha Nitrogen iliyoko hewani kuwa Nitrates ardhini, kwa hiyo mahindi hupata hiyo mbolea ya Nitrates na kustawi vizuri.
Je, ni miti ipi hasa ambayo ipo au inatumiwa Tanzania itumikayo kama Fertilizer trees or plants.
Kwa watalaam wa kilimo naomba msaada wenu.
Naomba kama kuna anayefahamu namna ya kuongeza uzalishaji wa mahindi shambani kwa kutumia mbolea asili ya miti iitwayo "Fertlizer Trees" anisaidie.
Hii miti huwa inabadirisha Nitrogen iliyoko hewani kuwa Nitrates ardhini, kwa hiyo mahindi hupata hiyo mbolea ya Nitrates na kustawi vizuri.
Je, ni miti ipi hasa ambayo ipo au inatumiwa Tanzania itumikayo kama Fertilizer trees or plants.
Kwa watalaam wa kilimo naomba msaada wenu.