Why sitaki .xx.tz domains na badala yake nataka .com au .in

SamJet

Senior Member
Jul 22, 2009
162
13
TISPA na TCRA walifanya jambo la maana kuanza huu mchakato wa tld'z za Tanzania tznic i.e co.tz, .or.tz, .go.tz na kadhalika.
Ila na ukweli ni kwamba mpaka leo nina imani jamii ya wanateknohama Tanzania wanaoyumia huduma zao ni less than 15%.
WHY??? MOJA: UBUNIFU

Sio kwamba TZNic(hao wasajili wa .tz) wanafanya ovyo, hapana, wanafanya EXELLENT kwenye industry yao.
Ila mfano mimi binafsi sitaki HATA BURE domain ya .co.tz. KWANINI? simple question, KWASABABU NI NDEFU.
Hebu imagine ourname.co.tz au ourname.in Ipi fupi kati ya hizo???

tznic tuseme wamekosa ubunifu. NINGESAJILI DOMAIN NYINGI KAMA KIUNGANISHI KINGEKUA .tz PEKEE, mfano samwel.tz.
cheki india .in au libya .ly na kadhalika. no need for .co.iz au .co.ly au .co.us.......

PILI: UPATIKANAJI!
Huwezi amini, mpaka leo najua DOMAIN REGISTARS wa wili tu bongo,(miaka minne sasa, tangu nikiwa 16, najua wawili tu), Ila wanasema kuwa registars wako wengi.
GOOD, NILIFANYA UTAFITI NA KUGUNDUA NDI WAKO WENGI, ILA SASA UNAFANYAJE ILI KUREJISTA?
Kuna wengine wanataka uende ofisini kwao, wengine hata ofisi zao huzioni (siwataji kwa majina)
PIA JINSI YA KUWALIPA NI NOMA, MI NIMEZOEA, NALIPA DOMAIN ZANGU ZA .COM,.US..ME...ETC ONLINE KWA DEBIT CARD YANGU, ILA WAO WANAKUAMBIA UKADEPOSIT BENKI,
DU, mpaka nifike benki na niwatumie bank slip, si mtu mwingine atakua ameshasajili hilo jina langu????

ILA KAMA KUNA MAHALI SIJAWAELEWA tznic, MNIREKEBISHE
 
kumbe na wewe unaongeaga point am with u kwa hilo

lakini naona kama umetaja tatizo tu je hakuna solution? niliskia kuna mdau anasema sjui .co.tz zinakua registered zambia au zimbabwe kitu kama hicho

unaonaje ukaanzisha wewe kampuni yako ya malipo kwa tigo m z pesa
 
KAMPUNI!??!! Utakua umefanya vizuri ili kufanya vibaya.
I mean, easyness of paying ni moja ila pia na swala la kumake iwe short like .tz only instead of .co.tz???
 
kazikubwa,,,use common sense, nalalamika, we umeona ushauri hapo...
 
Tena sa hivi kuna waraka umetoka gvt employee email zao lazima wayumie hiyo kikoa ya bongo
 
TISPA na TCRA walifanya jambo la maana kuanza huu mchakato wa tld'z za Tanzania tznic i.e co.tz, .or.tz, .go.tz na kadhalika.
Ila na ukweli ni kwamba mpaka leo nina imani jamii ya wanateknohama Tanzania wanaoyumia huduma zao ni less than 15%.
WHY??? MOJA: UBUNIFU

Sio kwamba TZNic(hao wasajili wa .tz) wanafanya ovyo, hapana, wanafanya EXELLENT kwenye industry yao.
Ila mfano mimi binafsi sitaki HATA BURE domain ya .co.tz. KWANINI? simple question, KWASABABU NI NDEFU.
Hebu imagine ourname.co.tz au ourname.in Ipi fupi kati ya hizo???

tznic tuseme wamekosa ubunifu. NINGESAJILI DOMAIN NYINGI KAMA KIUNGANISHI KINGEKUA .tz PEKEE, mfano samwel.tz.
cheki india .in au libya .ly na kadhalika. no need for .co.iz au .co.ly au .co.us.......

PILI: UPATIKANAJI!
Huwezi amini, mpaka leo najua DOMAIN REGISTARS wa wili tu bongo,(miaka minne sasa, tangu nikiwa 16, najua wawili tu), Ila wanasema kuwa registars wako wengi.
GOOD, NILIFANYA UTAFITI NA KUGUNDUA NDI WAKO WENGI, ILA SASA UNAFANYAJE ILI KUREJISTA?
Kuna wengine wanataka uende ofisini kwao, wengine hata ofisi zao huzioni (siwataji kwa majina)
PIA JINSI YA KUWALIPA NI NOMA, MI NIMEZOEA, NALIPA DOMAIN ZANGU ZA .COM,.US..ME...ETC ONLINE KWA DEBIT CARD YANGU, ILA WAO WANAKUAMBIA UKADEPOSIT BENKI,
DU, mpaka nifike benki na niwatumie bank slip, si mtu mwingine atakua ameshasajili hilo jina langu????

ILA KAMA KUNA MAHALI SIJAWAELEWA tznic, MNIREKEBISHE

Pole sana kwa hilo kama ulikuwa hautujui sisi Watz/Waafrika sababu ya kutumia hiyo .co.tz na sio tu .tz ni kwa sababu Uingereza wanatumia .co.uk basi hamna kitu kingine ni kama tulivyobadilisha kutoka TVT kwenda TBC kwa sababu Wazungu Waingereza wanatumia BBC hamna kingine na mwisho kama ulikuwa unatafuta mtu ambaye mnaweza mkajadiliana mambo ya msingi kama hayo humu JF basi umepotea kwani sana sana utaambulia kashfa na Matusi ukitaka wachangiaji humu njoo na Mada kuhusu wanawake na Ngono au Ridwani kanunua Mlima sehemu fulani hapo mtajadili mpaka utakimbia mwenyewe!
 
Ndg Kijakazi hapo ndiyo unapokosea kama vitu wewe umehusika usiweke wa Tz wote kwa maelezo yako unaonesha ww na

wenzako mmehusika katika hayo uliyoeleza sasa yanini kuweka wa tz wote badilika ongelea nafsi yako usiongelee

watu,mkuu uliyepost ww siyo mtz mbona umeposti kitu tofauti na watu wanapost vitu hivi kila siku nani wa tz,tuache

hayo?..

Kwa swala kwamba jina ni refu mkuu mimi sioni kama hiyo hoja ni nzito ya kushindwa kutumia hayo majina

na jinsi ilivyo hayo majina yanamaana sana lakini ukitaka kuyachukulia tu ni majina kweli utayaona marefu

lakini kuna .co hii ni kwaajiri ya kampuni,kuna .ac hii ni kwaajiri ya academics institutions,kuna .go hii ni kwajiri

ya governiment institutions,kuna .org hii ni kwaajiri ya organizations na nyingine nyingi kwa mimi binafsi

kwakweli sijasikia kesi kama hii yako kwamba jina hilo linakuwa refu zaidi zinanisaidia kama ninajua jina la

taasisi ninayotafuta inakuwa rahisi kuotea website yao kwa jinsi hii kwa kujua hizo maana zake mi ninaona

zinamaana zaidi ya jina refu au fupi!...

Pole sana kwa hilo kama ulikuwa hautujui sisi Watz/Waafrika sababu ya kutumia hiyo .co.tz na sio tu .tz ni kwa sababu Uingereza wanatumia .co.uk basi hamna kitu kingine ni kama tulivyobadilisha kutoka TVT kwenda TBC kwa sababu Wazungu Waingereza wanatumia BBC hamna kingine na mwisho kama ulikuwa unatafuta mtu ambaye mnaweza mkajadiliana mambo ya msingi kama hayo humu JF basi umepotea kwani sana sana utaambulia kashfa na Matusi ukitaka wachangiaji humu njoo na Mada kuhusu wanawake na Ngono au Ridwani kanunua Mlima sehemu fulani hapo mtajadili mpaka utakimbia mwenyewe!
 
Last edited by a moderator:
Ukitaka wachangiaji humu njoo na Mada kuhusu wanawake na Ngono au Ridwani kanunua Mlima sehemu fulani hapo mtajadili mpaka utakimbia mwenyewe!

Aisee umetukosea sana hili jukwaa, kama ni desturi yako, basi never under-estimate people here. Omba radhi tafadhali!!

Okay, back to topic, as Nyakwec's Bro said, sioni kama ni sababu ya msingi kusema hiyo ni long domain, kwa watu wenye uelewa, wanajua maana ya hizo ext. go.tz, or.tz, co.tz, ac.tz
co.za, The Presidency | Home, University of KwaZulu-Natal, (what you are saying is urefu ni hizo herufi mbili au tatu..) I beg to differ SamJet, unless kama you are just excited to have one pronto.
 
Last edited by a moderator:
kumbe na wewe unaongeaga point am with u kwa hilo

lakini naona kama umetaja tatizo tu je hakuna solution? niliskia kuna mdau anasema sjui .co.tz zinakua registered zambia au zimbabwe kitu kama hicho

unaonaje ukaanzisha wewe kampuni yako ya malipo kwa tigo m z pesa

bado nafigure out jinsi ya kujenga mfumo wa malipo online ambao utaaccept m.pesa, tigopesa, airtel money online kwa ajili ya manunuzi coz nahisi ndo njia rahisi kufanya manunuzi kwa sasa, wadau wangu NingaR, SamJet, GIVENALITY, leh, e2themiza, MziziMkavu mnadhani this can achieved?
 
Last edited by a moderator:
Kusajili domain ya .tz inawezekana na Tanzania wamepewa hii TLD. However, TZNic wanasajili third-level domain via hii .tz. Sijajua kama wanafanya kwa kudhamiria au kama imewabidi ila ninachojua ni kwamba, if they're willing to register domains with .tz, they can. Details kuhusu .tz hizi hapa:
[h=1]Delegation Record for .TZ[/h] ISO link for decoding the two-letter codes [h=2]Sponsoring Organisation[/h] Tanzania Network Information Centre (tzNIC)
New Bagamoyo Road, LAPF Millennium Towers
Suite # 04, Ground floor
P.O. Box 34543
Dar es Salaam
Tanzania, United Republic Of
[h=2]Administrative Contact[/h] Manager
Tanzania Network Information Centre (tzNIC)
New Bagamoyo Road, LAPF Millennium Towers
Suite # 04, Ground floor
P.O. Box 34543
Dar es Salaam
Tanzania, United Republic Of
Email: manager@tznic.or.tz
Voice: +255 22 277 2 659
Fax: +255 22 277 2 660
[h=2]Technical Contact[/h] Technical Officer
Tanzania Network Information Centre (tzNIC)
New Bagamoyo Road, LAPF Millennium Towers
Suite # 04, Ground floor
P.O. Box 34543
Dar es Salaam
Tanzania, United Republic Of
Email: technical@tznic.or.tz
Voice: +255 22 277 2 659
Fax: +255 22 277 2 660
[h=2]Name Servers[/h]
Host NameIP Address(es)
d.ext.nic.cz193.29.206.2
2001:678:1:0:0:0:0:2
ns2.tznic.or.tz196.216.162.67
2001:43f8:e0:1:0:0:0:67
rip.psg.com147.28.0.39
2001:418:1:0:0:0:0:39
sns-pb.isc.org192.5.4.1
2001:500:2e:0:0:0:0:1
ns.anycast.co.tz204.61.216.15
2001:500:14:6015:ad:0:0:1
ns-tz.afrinic.net196.216.168.20
2001:43f8:120:0:0:0:0:20

[h=2]Registry Information[/h] URL for registration services: Home - tzNIC
WHOIS Server: whois.tznic.or.tz

TZNic pia wana uwezo wa kusajili domains hizi:

  • .co.tz: Za biashara
  • .ac.tz: kwa vyuo vinavyotoa baccalaureate degrees
  • .go.tz: web za serikali
  • .or.tz: not-for-profit organizations
  • .mil.tz: hii hutumika kwa website za jeshi la Tanzania PEKEE.
  • .sc.tz: website za shule za primary na secondary (ingawa sijaona bado shule zitumiazo hii extension)
  • .ne.tz: network infrastructure
Tarehe 14 February 2012, sechond-level domains ziliongezwa:


  • .hotel.tz - Web za mahoteli
  • .mobi.tz - site za simu (manase na wenzake wangeacha kutumia wen.ru za warusi, I'm just saying)
  • .tv.tz - website za mashirika ya television (kama EATV, ITV, StarTV na wengine)
  • .info.tz - hizi ni kwa ajili ya kutoa information resources (Kama Tanzania kungekuwa na labda online Directory basi ingetumia hii)
  • .me.tz - sijajua bado matumizi yake.... :(

Jambo jingine linalofanya hizi domain zisitumiwe sana ni bei yake. The payment ya .co.tz ni pound 99/year! Tunapenda sana kukuna web technology ya TZ yakini tubebane sasa.
 
Inshort hizo domain ni gharama sana kulinganisha na nyingine, wakati .com inauzwa 22,500 basi .co.tz inauzwa 30,000. Ni dhahiri mtu atanunua .com tu
 
TZNic pia wana uwezo wa kusajili domains hizi:

  • .co.tz: Za biashara
  • .ac.tz: kwa vyuo vinavyotoa baccalaureate degrees
  • .go.tz: web za serikali
  • .or.tz: not-for-profit organizations
  • .mil.tz: hii hutumika kwa website za jeshi la Tanzania PEKEE.
  • .sc.tz: website za shule za primary na secondary (ingawa sijaona bado shule zitumiazo hii extension)
  • .ne.tz: network infrastructure
Tarehe 14 February 2012, sechond-level domains ziliongezwa:


  • .hotel.tz - Web za mahoteli
  • .mobi.tz - site za simu (manase na wenzake wangeacha kutumia wen.ru za warusi, I'm just saying)
  • .tv.tz - website za mashirika ya television (kama EATV, ITV, StarTV na wengine)
  • .info.tz - hizi ni kwa ajili ya kutoa information resources (Kama Tanzania kungekuwa na labda online Directory basi ingetumia hii)
  • .me.tz - sijajua bado matumizi yake.... :(

Jambo jingine linalofanya hizi domain zisitumiwe sana ni bei yake. The payment ya .co.tz ni pound 99/year! Tunapenda sana kukuna web technology ya TZ yakini tubebane sasa.

Asante kwa taarifa nzuri mkuu.
Masahihisho kidogo hapo pekundu, Shule ya Sekondari META iliyopo jijini Mbeya wanatumia hicho kikoa cha .sc.tz.
 
bado nafigure out jinsi ya kujenga mfumo wa malipo online ambao utaaccept m.pesa, tigopesa, airtel money online kwa ajili ya manunuzi coz nahisi ndo njia rahisi kufanya manunuzi kwa sasa, wadau wangu NingaR, SamJet, GIVENALITY, leh, e2themiza, MziziMkavu mnadhani this can achieved?

With a blink of an eye, TES, kinachomatter sana hapo ni security.....
Pia idea hiyo nimeipenda mnooo. This idea resembels pesapal inkenya, right??? sema pesapal is too much complicated. You can simplify this by using only few MOBILE payment gateways, kam M-PESA, AIRTEL MONEY, ZAP N.K
 
Ila mi nadhani wakiwezesha malipo kwa MPESA ama Tigo pesa basi wanaweza weka mchakato wa kuingiza zile receipt code. Na kama kawaida ikawezeshwa within 24Hours. Pia bei ipungue, mfano .in domain zinauzwa kwa nje ya india lakini ndani ya india bei ni rahisi sana.
 
mhmmm!!! Aisee mkuu kwenye hilo swala la registrers na mfumo wa kulipia domain hapo mimi naomba nipingane na wewe kwa sababu mimi sijawahi kupata shida yoyote katika kulipia na kuregister domain yangu...huwa natoa order na kulipia kwa njia ya Airtel Money na M-Pesa na ndani ya 24 hrs domain yangu inakuwa imeshasajiliwa...Sasa sijui wewe hiyo ya kwako umeitoa wapi.

na kuhusu domain extension ya Tanzania nadhani kuna vitu ambavyo unapaswa kuvifahamu na ukishavifahamu hutoongea tena hilo unaloliongea sasa hivi. Kila domain extension unayoiona imewekwa kwa ajili ya kuwalenga watu wa aina flani...eg: .com domain imelenga commercial organizations, .net imelenga organizations involved in networking technologies.

Sasa usione hao tzNIC walioweka different .tz domain extension ni wajinga. Soma kwanza uelewe ndio uanze kutoa maoni yako.
 
bado nafigure out jinsi ya kujenga mfumo wa malipo online ambao utaaccept m.pesa, tigopesa, airtel money online kwa ajili ya manunuzi coz nahisi ndo njia rahisi kufanya manunuzi kwa sasa, wadau wangu NingaR, SamJet, GIVENALITY, leh, e2themiza, MziziMkavu mnadhani this can achieved?

Wazo lako ni zuri sana mkuu na ninaliunga mkono kwa 100% lakini kabla ya kwenda mbali embu jiulize maswali yafuatayo; unadhani ni watanzania wangapi ambao wanaweza kupata access ya internet? unadhani ni watanzania wangapi wenye ufahamu wa mambo ya computer? Je unadhani njia hiyo itarahisisha kwa namna moja au nyingine watu kulipia bill zao au ndio itazorotesha huduma hivyo? nadhani katika kuyajibu maswali hayo wewe mwenyewe unaweza kupata picha kama hiyo huduma inaweza kufanikiwa au la. Kwa sasa nadhani mfumo huu wa kulipia kwa njia ya simu wa kawaida unafaa na ni wa haraka zaidi kuliko huo wa internet...labda kama itaanzishwa huduma tofauti na hiyo ambayo itakuwa bora zaidi kuliko hiyo ila kwa hali ya nchi yetu kwa sasa sidhani kama njia hiyo itafanikiwa sana.
 
Back
Top Bottom