SamJet
Senior Member
- Jul 22, 2009
- 162
- 13
TISPA na TCRA walifanya jambo la maana kuanza huu mchakato wa tld'z za Tanzania tznic i.e co.tz, .or.tz, .go.tz na kadhalika.
Ila na ukweli ni kwamba mpaka leo nina imani jamii ya wanateknohama Tanzania wanaoyumia huduma zao ni less than 15%.
WHY??? MOJA: UBUNIFU
Sio kwamba TZNic(hao wasajili wa .tz) wanafanya ovyo, hapana, wanafanya EXELLENT kwenye industry yao.
Ila mfano mimi binafsi sitaki HATA BURE domain ya .co.tz. KWANINI? simple question, KWASABABU NI NDEFU.
Hebu imagine ourname.co.tz au ourname.in Ipi fupi kati ya hizo???
tznic tuseme wamekosa ubunifu. NINGESAJILI DOMAIN NYINGI KAMA KIUNGANISHI KINGEKUA .tz PEKEE, mfano samwel.tz.
cheki india .in au libya .ly na kadhalika. no need for .co.iz au .co.ly au .co.us.......
PILI: UPATIKANAJI!
Huwezi amini, mpaka leo najua DOMAIN REGISTARS wa wili tu bongo,(miaka minne sasa, tangu nikiwa 16, najua wawili tu), Ila wanasema kuwa registars wako wengi.
GOOD, NILIFANYA UTAFITI NA KUGUNDUA NDI WAKO WENGI, ILA SASA UNAFANYAJE ILI KUREJISTA?
Kuna wengine wanataka uende ofisini kwao, wengine hata ofisi zao huzioni (siwataji kwa majina)
PIA JINSI YA KUWALIPA NI NOMA, MI NIMEZOEA, NALIPA DOMAIN ZANGU ZA .COM,.US..ME...ETC ONLINE KWA DEBIT CARD YANGU, ILA WAO WANAKUAMBIA UKADEPOSIT BENKI,
DU, mpaka nifike benki na niwatumie bank slip, si mtu mwingine atakua ameshasajili hilo jina langu????
ILA KAMA KUNA MAHALI SIJAWAELEWA tznic, MNIREKEBISHE
Ila na ukweli ni kwamba mpaka leo nina imani jamii ya wanateknohama Tanzania wanaoyumia huduma zao ni less than 15%.
WHY??? MOJA: UBUNIFU
Sio kwamba TZNic(hao wasajili wa .tz) wanafanya ovyo, hapana, wanafanya EXELLENT kwenye industry yao.
Ila mfano mimi binafsi sitaki HATA BURE domain ya .co.tz. KWANINI? simple question, KWASABABU NI NDEFU.
Hebu imagine ourname.co.tz au ourname.in Ipi fupi kati ya hizo???
tznic tuseme wamekosa ubunifu. NINGESAJILI DOMAIN NYINGI KAMA KIUNGANISHI KINGEKUA .tz PEKEE, mfano samwel.tz.
cheki india .in au libya .ly na kadhalika. no need for .co.iz au .co.ly au .co.us.......
PILI: UPATIKANAJI!
Huwezi amini, mpaka leo najua DOMAIN REGISTARS wa wili tu bongo,(miaka minne sasa, tangu nikiwa 16, najua wawili tu), Ila wanasema kuwa registars wako wengi.
GOOD, NILIFANYA UTAFITI NA KUGUNDUA NDI WAKO WENGI, ILA SASA UNAFANYAJE ILI KUREJISTA?
Kuna wengine wanataka uende ofisini kwao, wengine hata ofisi zao huzioni (siwataji kwa majina)
PIA JINSI YA KUWALIPA NI NOMA, MI NIMEZOEA, NALIPA DOMAIN ZANGU ZA .COM,.US..ME...ETC ONLINE KWA DEBIT CARD YANGU, ILA WAO WANAKUAMBIA UKADEPOSIT BENKI,
DU, mpaka nifike benki na niwatumie bank slip, si mtu mwingine atakua ameshasajili hilo jina langu????
ILA KAMA KUNA MAHALI SIJAWAELEWA tznic, MNIREKEBISHE