Heshima zenu wakuu.
Wakuu kuna kitu kimetokea kwenye facebook account yangu ambacho sikielewi.
Yaani leo wakati nasign in nimeshangaakupata notification ikisema FULANI ACCEPTED YOUR FRIEND REQUEST wakati mimi sijawahi kumu ADD huyu mtu hata kwa makosa.Na tayari mimi na huyu fulani tumeshakua marafiki wa facebook.
Nimeshabadilisha password yangu ila bado nina hofu maana sielewi elewi kilichotokea..
Hakuna mtu anayejua password yangu..wala sijawahi kutumia computer ya mtu kuingia facebook..wala sijawahi kutumia public computer..
Naombeni mniambie nifanyaje na pia kama kuna anayejua kilichotokea anifafanulie maana marafiki zangu wote wa facebook ni watu tunaoheshimiana sana hivyo kama mtu anaweza ku ADD mtu bila ridhaa yangu naogopa asijepost au kuandika meseji za ajabu ajabu kwa rafiki zangu.
Natanguliza shukrani.
Wakuu kuna kitu kimetokea kwenye facebook account yangu ambacho sikielewi.
Yaani leo wakati nasign in nimeshangaakupata notification ikisema FULANI ACCEPTED YOUR FRIEND REQUEST wakati mimi sijawahi kumu ADD huyu mtu hata kwa makosa.Na tayari mimi na huyu fulani tumeshakua marafiki wa facebook.
Nimeshabadilisha password yangu ila bado nina hofu maana sielewi elewi kilichotokea..
Hakuna mtu anayejua password yangu..wala sijawahi kutumia computer ya mtu kuingia facebook..wala sijawahi kutumia public computer..
Naombeni mniambie nifanyaje na pia kama kuna anayejua kilichotokea anifafanulie maana marafiki zangu wote wa facebook ni watu tunaoheshimiana sana hivyo kama mtu anaweza ku ADD mtu bila ridhaa yangu naogopa asijepost au kuandika meseji za ajabu ajabu kwa rafiki zangu.
Natanguliza shukrani.