wabongo bwana eti wataalamu wa simu!oya home vp? Ratiba ya menu(msosi) inaeleweka,namaanisha watoto wanapishana toilate?
Wataalam wa simu?! Aa wapi! kuna lumpeni au profesa yeyoye wa tz alishawahi kudizaini simu ya mkononi? Hawanaga ubavu wa kuunda hata phillips savvy!!
Profesa wa Bongo anauza bia, anauza kitimoto na kufuga mbuzi, unategemea nini hapo?