Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Microsoft's licensing of Windows to PC manufacturers has been one of the most profitable businesses in technology history. The software giant's Windows division posted sales of $4.6 billion last...
0 Reactions
0 Replies
559 Views
Upending one of the world's most successful business strategies over the past three decades, Microsoft has developed a Windows tablet computer of its own design.The company on Monday unveiled the...
0 Reactions
0 Replies
616 Views
Modem yangu ya vodacom nikiweka katika laptop yangu hadi juzi ilikuwa inapiga kazi safi kabisa lakini sasaivi inaload vizuri mpaka kufikia hatua ya mesej ya ku connect lakini nikijaribu ku connect...
0 Reactions
3 Replies
768 Views
zamani tulitumia 0.facebook.com kufungua proxy kunako vodacom ambayo waliifunga. naomba mwenye kujua mpya anisaidie kupitia PM.naona wamepinguza gharama eti 5mb sh 250 nk lakini tunatafunwa sana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba Msaada kwa hilo coz fone huwa inajizima na kuwaka yenyewe wakati ukiwa unatalk au unafanya ishu zngine tatizo ni nn? Msaada pliz kwa yeyote anaejua
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mara kadhaa nimekuwa nikipata msgs km hii za watu wanaohitaji msaada, hasa wa matibabu: ... The only way they can help us is this way, I send this email to you and you send it to other...
0 Reactions
1 Replies
863 Views
Wadau wa jukwaa habari zenu Tv yangu ya Samsung Flat screen imezima ghafla na sijajua tatizo nini. Ukiiwasha inawaka taa ya power ile nyekundu kwa kubeep yaani inawaka na kuzima baadae inazima...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Nina Camera Canon IXUS 9515 imeleta mushkeli kidogo ,ukiiwasha lenz haitoki muda wote ,na display yake haionyeshi. sijaiangusha imeanza ghafla ,fundi mtaalam niPM ama nibeep 0655123683/0759123683...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu? It works 100% , tested using Opera Mini & Uc Browser. Here we go: Type www.facebook.com/home.php in your browser's address bar. You will be directed to the mobile login...
0 Reactions
7 Replies
345 Views
wazee kama kuna mtu amefanikiwa kununua hizi modem za airtel zinazo nadiwa kila siku kwamba zipo na free internet ya 6month basi anijuze maana huku niliko bado bei mkasi ile mbaya ati!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
naomba mwenye maujuzi anijuze maana simu yangu inashinwa kuwa detected kwenye pc,nashinwa kuweka music na mambo mengine.haina memory card,ina only internal memory.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakubwa! Naomben msaada wa proxy' mwenye nazo afanye kuniPM si unajua hapa jamaa hawachelewi kuzinyaka. Naomben msaada wakubwa. Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wana jamvi nimeamua kuuza laptop yangu aina ya macbook apple version ya 10.5.8,processor yake ni 2Ghz na ram ni 2GB.Haina tatzo lolote ila naiuza kusolve personal issues.anahehtaj anipm au...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
WanaJf, mtu yeyote aliyetumia, au kuijua NOKIA C2-03 anijuze ubora wake au ubaya wake
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jamii nina shida kama kuna mtu anaweza nifahamisha mwenye kujua quickbooks. unapoingia kwenye menu ya COMPANY utakuta maelezo ya overdue invoices zinaonekana though malipo...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Hallow wana JF Nina simu yangu aina ya Nokia N8, na huwa ninatumia line ya voda, sasa jana nikaeka line ya Zantel wakawa wamenitumia mameji kibao ya setting za internet Nilipoitoa line ya zantel...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
pata video tutorials katika nyanja zote za computer science free katika site TheNewBoston - Free Educational Video Tutorials on Computer Programming, Adobe Software, Computer Science and More...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwawale wapenzi wa Movies in 3D form, juc tafuta glasses za kuwatch hizo movies now unaweza kuziangalizia hata hapo hapo home cha kufanya download Latest KMplayer na hizo 3D movies ambazo...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada nimesahau password za memory card kwa anaejua namna ya ku-unlock naomba anijuze.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kuna mtu anajua jinsi ya kuzifungua hizi simu Ideos za Tigo msaada tafadhali,nataka kutumia SIM card ya airtel kwa ajili ya intaneti.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom