Habari wakubwa!
Naomben msaada wa proxy' mwenye nazo afanye kuniPM si unajua hapa jamaa hawachelewi kuzinyaka. Naomben msaada wakubwa.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
proxy zipo mzee sema hazitolewi kirahisiChief-mkwawa imekataa koz nimeweka kila kitu poa ila naona haifungui. Labda kama kuna changes au jinsi nyingine ya kuconnect unielekeze jamaa angu.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
umezipata mkuu??hata mm najua hilo ndo maana nikaomba! Asa sijui unataka ufanyiwe nn ili utoe kirahisi.
Sent from my blackberry 9780 using jamiiforums