Nokia N8

Kihodombi

Member
Jan 23, 2012
39
7
Hallow wana JF
Nina simu yangu aina ya Nokia N8, na huwa ninatumia line ya voda, sasa jana nikaeka line ya Zantel wakawa wamenitumia mameji kibao ya setting za internet
Nilipoitoa line ya zantel nikaweka ya voda simu ikawa inadisplay icon ya bahasha ya message muda wote hadi sasa, nimejaribu jinsi ya kukitoa nimeshindwa, please anybody with ideas hw i can get rid of this (kanatokea kwa juu kabisa sehemu inapoonyesha network status)
Please help
 
Umefungua msg zote zilizoingia? Jaribu kufungua msg latest zote uone kama hiyo icon itaondoka.
 
una new txt message na ipo kwenye sim card na coz nokia symbian phones huwa hazidisplay txt ambazo zipo kwa sim card, huwezi kuiona lakini simu inajua kuna txt mpya. kwa bahati mbaya mkuu nina siku nyingi nimeacha kutumia symbian phones na haswa za s^3 sijatumia so nimesahau kidogo, ila ufanye kitu kama hichi:
messages>options>sim messages>inbox, kisha fungua message zote zilizopo mle ndani. kama nilivyosema, nina siku nyingi sijakusa na najua mfumo umebadilika so sio lazima iwe exactly kama nilivyo andika ila cha msingi ni kwamba ujue kuna txt ndani ya line. unaweza pia ukachomoa hiyo line na kuweka ndani ya simu ndogo kama torch vile na kutafuta hiyo txt ambayo haijasomwa
**leh
 
fanya hv nenda kwenye messaging alafu option na kisha ufungue SIM MESSAGES
 
kwanza weka ile lain ya zantel halafu nenda messaging>options>sim messages>mark all>delete
It worked on s60 3rd hope hata kwenye s^3 or higher itapiga kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom