poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 453
- 175
Wadau wa jukwaa habari zenu
Tv yangu ya Samsung Flat screen imezima ghafla na sijajua tatizo nini.
Ukiiwasha inawaka taa ya power ile nyekundu kwa kubeep yaani inawaka na kuzima baadae inazima kabisa.Nimejaribu mara kadhaa lakini wapi.Naomba msaada ndugu zangu wa kitaalamu nini tatizo na nifanye je ili iweze kupona.
Ni SAMSUNG
MODEL:LA26A450C1
TYPE NO:LA26A450
Nasubiri ushauri wenu
Tv yangu ya Samsung Flat screen imezima ghafla na sijajua tatizo nini.
Ukiiwasha inawaka taa ya power ile nyekundu kwa kubeep yaani inawaka na kuzima baadae inazima kabisa.Nimejaribu mara kadhaa lakini wapi.Naomba msaada ndugu zangu wa kitaalamu nini tatizo na nifanye je ili iweze kupona.
Ni SAMSUNG
MODEL:LA26A450C1
TYPE NO:LA26A450
Nasubiri ushauri wenu