Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wazee nipeni mbinu za kuongeza YouTube subscribers Nitumie njia gani?
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Hello, Nina kazi zangu za kisanaa, ziko uploaded on YouTube lakini hazikuwafikia watu wengi. Nahitaji ziwe recommended kwa Mtanzania yeyote anayeingia kwenye App. Nifanye nini ili hizi videos...
2 Reactions
7 Replies
693 Views
YouTuber Tukutane Hapa Je, unamiliki YouTube channel au unataka kutengeneza na kupata Ujanja Zaidi mfano kuongea Views na subscribers? Basi pitia hapa. Wadau kama wewe ni mmiliki au mtengenezaji...
9 Reactions
217 Replies
17K Views
Salamu wakuu, Najikongoja kuamka baada ya kupata anguko na ajali pia,nimeregister jina la baishara BRELA (wazawa general supplies limited). Naomba msaada kwa mdau yoyote kunisaidia kutengeneza...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
๐—ง๐—ฒ๐˜€๐—น๐—ฎ ๐—ฆ๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚ ๐—ฐ๐—ผ๐—ป๐˜๐—ฟ๐—ผ๐—น ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ถ๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ Kampuni ya Tesla imeleta mfumo rahisi wa kuingiliana Kati ya gari pamoja na simu kwa watumiaji wa simu za iphone pekee. [emoji189]...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kampuni ya apple inayofanya vizuri kwenye uuzaji wa simu zao. kuanzia mwaka 2008 ilikua na app 500 kwenye soko la app store mpaka kufikia app zaidi ya milioni mbili sasa. Ukingia kwenye soko la...
1 Reactions
1 Replies
627 Views
Habarini za asubuhi Nilikuwa natumia program ya download master ku-download video kwenye YouTube , Ila naona wamefanya maboresho na imekuja program ambayo siyo rafiki Naomba msaada Kwa ambaye...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Za jioni wakuu, Naomba msaada jinsi naweza nikatumia dish moja(azam) kwa ving'amuzi viwili tofauti. Yaan bedroom TV pia niweze kupata huduma ya azam TV kwa king'amuzi chake separate ila nitumie...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jana Instagram wamenifungia acc yangu kwa madai nimeenda kinyume na sheria zao Msaada kwa hatakaeweza kunirudishia acc yangu maana ni special for busness
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Aisee, simu yangu inaingiza ma apps ya aina mbalimbali kama vile ma games n.k bila ridhaa yangu (bila kudownload). Mfano Kuna Aapp inaitwa Ayoba kila nikiifuta nikiweka MB tu inarudi tena. Kuna...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Wakuu Msaada, Kwa aliyewahi kupitia kadhia hii, alipataje ufumbuzi. Nimekuwa nikiwatumia e-mails, na ujumbe kuwaomba wafungue account yangu, ikifunguliwa haizidi 48 hours inafungwa tena...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakuu siku kadhaa nilipost kuwa nimeanza kujifunza python. Nashukuru wadau walinipa mwongozo. Kuptia python niliweza kuweza kuelewa rahisi kidogo C++ kuliko awali nilikuwa sielewi kirahisi. Naweza...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
KUPERUZI SIMU KWA VITUFE VITATU Tukiachana na wazee and the likes, Nashangaa kuona bado kuna watu wamekomaa kuendelea kutumia vile vitufe vitatu vilivyopo chini ya screen. KUPERUZI SIMU KWA...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Achana na hii kitu, kama una bajeti ya kununua iphone 11 au 12 please pita kwanza uchukue pixel halafu ukirudi tena kwenye iphone niite mbwa nimekaa paleee
19 Reactions
428 Replies
32K Views
Muonekano mpya wa simu ya Google Pixel 6a umetoka, na inaonekana Google imeamua kuweka design mpya kama Google Pixel 6. Itakuwa ni style moja katika simu zake zote. Simu hii mpya ya gharama ya...
6 Reactions
75 Replies
10K Views
๐—ก๐—ฐ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—œ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐Ÿฐ [emoji189] Nchi ya India imefanikiwa kufika mwezini baada ya kujaribu na kushindwa miaka minne iliyopita, hatimaye India imefanikiwa kufikisha chombo...
2 Reactions
8 Replies
962 Views
Simu yangu ilitumbukia kwenye maji display ikaharibika niikaweka display nyingine kwa sh 70,000,display hii mpya haina ubora kama ile original iliyokuja na simu na napasuka kama kioo cha dirisha...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za leo wakuu,nina Samsung s21 ultra 5g imekuwa na tatizo la kusoma mtandao kwa muda sasa,unaweza weka laini ikasoma vizuri tu baada ya muda haisomi ni mwendo wa Emergency tu na data...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Salaam wakuu. Kama picha inavyoonekana hapa juu, nimeseti hili game la Dream league soccer Simba SC mod vizuri lakini mwishoni kwenye hatua za kuanza kuplay linagoma na kuleta maneno Kama picha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shirika la sayansi za anga za juu la Marekani yaani NASA, limefanikiwa kutengeneza ndege itakayo safiri kwa Kasi kubwa kuliko ya Ile ndege ya zamani iliyostaafishwa yaani Concorde. Ndege hiyo...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ