Msaada; Instagram wamenifungia akaunti yangu

Msaada; Instagram wamenifungia akaunti yangu

wakukurupuka1

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
525
Reaction score
1,211
Jana Instagram wamenifungia acc yangu kwa madai nimeenda kinyume na sheria zao

Msaada kwa hatakaeweza kunirudishia acc yangu maana ni special for busness
 
Jana Instagram wamenifungia acc yangu kwa madai nimeenda kinyume na sheria zao

Msaada kwa hatakaeweza kunirudishia acc yangu maana ni special for busness
Screenshot huo ujumbe ficha jina lako kisha tuwekee hapa tuone umevayoleti kanuni zipi za Insta.
 
Screenshot huo ujumbe ficha jina lako kisha tuwekee hapa tuone umevayoleti kanuni zipi za Insta.

IMG_9493.jpg

IMG_9489.jpg

IMG_9488.jpg
 
Mkuu
Inaonesha umemtukana ama kumfanyia mtu bullying. Moderator Na wenzake humu JF huwa wanatuvumilia sana hizi lugha tunazotumia. Kule wapo strict to the rules.

Sasa cha kufanya, andika email ya appology uweze kupewa hata suspension ya muda fulani kisha ufunguliwe.

Admit your mistakes, omba radhi kisha mambo yatakuwa shegha.

Ukiendelea kukaza huku evidences zipo wazi, utaikosa akaunti
 
Mkuu
Inaonesha umemtukana ama kumfanyia mtu bullying. Moderator Na wenzake humu JF huwa wanatuvumilia sana hizi lugha tunazotumia. Kule wapo strict to the rules.

Sasa cha kufanya, andika email ya appology uweze kupewa hata suspension ya muda fulani kisha ufunguliwe.

Admit your mistakes, omba radhi kisha mambo yatakuwa shegha.

Ukiendelea kukaza huku evidences zipo wazi, utaikosa akaunti

Tyr mzee Ndio wakasema wanapitia ila kusema kutukana n uongo maana iyo ni acc ya biashara huwa napost tuu
 
Tyr mzee Ndio wakasema wanapitia ila kusema kutukana n uongo maana iyo ni acc ya biashara huwa napost tuu
Ukiona hivyo rival(s) wako ndo wamehusika kukupost.

Waombe uone reported post(s) kisha angalia translation
 
Back
Top Bottom