Tatizo la network kwenye Samsung s21 ultra 5g

mzee msoko

Senior Member
Jan 30, 2020
112
204
Habari za leo wakuu,nina Samsung s21 ultra 5g imekuwa na tatizo la kusoma mtandao kwa muda sasa,unaweza weka laini ikasoma vizuri tu baada ya muda haisomi ni mwendo wa Emergency tu na data haifunguki hata kidogo nishajaribu kuseti APNs mpya lakini hakuna msaada wowote
 
Do this.
Call your mobile operator (call center) wapatie phone details watapush profile inayoendana na simu yako hapo hutakua na shida tena as long as inasoma mnara.
Otherwise nenda shop ya operator wake. .km ni tigo or voda or airtel or halotel watakusaidia nakukupa jibu sahihi. ..ukishindwa reset simu maybe you changed something
 
Do this.
Call your mobile operator (call center) wapatie phone details watapush profile inayoendana na simu yako hapo hutakua na shida tena as long as inasoma mnara.
Otherwise nenda shop ya operator wake. .km ni tigo or voda or airtel or halotel watakusaidia nakukupa jibu sahihi. ..ukishindwa reset simu maybe you changed something
No,sijachange file lolote mkuu zaidi ilianza ghafla tu upande wa calls inaandika Emergency mara laini inasoma ikijisikia then no mobile data
 
Nenda wakakuflashie ROM nyingine itoke hiyo ya (AT&T based ambayo hai comply kibongo bongo) ambapo hiyo nyingine ita fix emergency status. Mafundi software wanaelewa.
Shukran mkuu nitafanya hivyo
 
Hio itakua carrier unlocked, haikutengenezwa maalumu kwa zone uliyopo(Africa), wamei unlock ili itumike huku.
Soma kwenye model kama mwishoni sio hivyo jua hapo ndio tatizo..

SM-G998B/DS (International)
 
Hio itakua carrier unlocked, haikutengenezwa maalumu kwa zone uliyopo(Africa), wamei unlock ili itumike huku.
Soma kwenye model kama mwishoni sio hivyo jua hapo ndio tatizo..

SM-G998B/DS (International)
Hapa kwenye kipengele cha model yaonyesha ni SM-G998U

Pia upande wa software update inaandika "NO UPDATE IS AVAILABLE FOR YOUR DEVICE AT THIS TIME, PLEASE TRY AGAIN IN 24 HOURS" pia kwenye kipengele hichi nishajaribu sana tu
 
Hapa kwenye kipengele cha model yaonyesha ni SM-G998U

Pia upande wa software update inaandika "NO UPDATE IS AVAILABLE FOR YOUR DEVICE AT THIS TIME, PLEASE TRY AGAIN IN 24 HOURS" pia kwenye kipengele hichi nishajaribu sana tu
Ingia playstore,nenda kwenye about phone then Device certification...Simu iliyopass google certificate lazima iandike "Device is Certified"
Simu isipokuwa certkfied,kwanza app zote za kibank na mobile money haziwezi fanya kazi.
Refurb nyingi zina hizi shida na hizo used za Dubai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom