Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,308
- 1,423
Shirika la sayansi za anga za juu la Marekani yaani NASA, limefanikiwa kutengeneza ndege itakayo safiri kwa Kasi kubwa kuliko ya Ile ndege ya zamani iliyostaafishwa yaani Concorde.
Ndege hiyo mpya hiyo hapo pichani inaitwa x-59 inauwezo wa kusafiri kutoka Jiji la New York mpaka Jiji la London kwa kutumia muda wa dakika 90.
Concorde ilitumia saa matatu wakati wa uhai wake, ndege za kawaida za abiria husafiri kwa masaa yasiyopungua 8 kwa safari hiyo New York mpaka London.
Ndege hiyo X-59 ipo tayari kwa ajili ya majaribio.
Ndege hiyo mpya hiyo hapo pichani inaitwa x-59 inauwezo wa kusafiri kutoka Jiji la New York mpaka Jiji la London kwa kutumia muda wa dakika 90.
Concorde ilitumia saa matatu wakati wa uhai wake, ndege za kawaida za abiria husafiri kwa masaa yasiyopungua 8 kwa safari hiyo New York mpaka London.
Ndege hiyo X-59 ipo tayari kwa ajili ya majaribio.