Unatumia whastap ipi?Wakuu Msaada,kwa aliyewahi kupitia kadhia hii,alipataje ufumbuzi.
Nimekuwa nikiwatumia e-mails, na ujumbe kuwaomba wafungue account yangu, ikifunguliwa haizidi 48 hours inafungwa tena.
Natanguliza shukrani kwenu. View attachment 2731554
Tumia whatsap ya kawaida inayopatikana playstoreYa Lawanda ndugu,sio watsapp business
Tumia whatsapp mkuu, hichi unachotumia ni kitu kinachofanana na whatsappWakuu Msaada,
Kwa aliyewahi kupitia kadhia hii, alipataje ufumbuzi.
Nimekuwa nikiwatumia e-mails, na ujumbe kuwaomba wafungue account yangu, ikifunguliwa haizidi 48 hours inafungwa tena.
Natanguliza shukrani kwenu.
View attachment 2731554
Kwanza ulipakua kutoka wapi kama ni fake ndo zinavokuwa tafuta orijiniWakuu Msaada,
Kwa aliyewahi kupitia kadhia hii, alipataje ufumbuzi.
Nimekuwa nikiwatumia e-mails, na ujumbe kuwaomba wafungue account yangu, ikifunguliwa haizidi 48 hours inafungwa tena.
Natanguliza shukrani kwenu.
View attachment 2731554
Shida iko hapa, unaeneza Jihad kupitia whatsapHapana, labda status za kujenga imani, kuwasihi waja wajikurubishe kwa Allah
Unayoikuta play store ndio official , kama sio official haiwezi kupatikana play store hapo inawezekana kuna shida mahaliEti, though Nmekua nikipakua google play store,msaada Jinsi ya kuitambua hiyo Official Watsapp pls
Huyo atakua anaeneza jihad na jumbe za chuki sana (extremist) juu wa wakristo hasa tunaoipinga DP World!Whatsapp inakua banned ikiwa reported au kama una tabia ya kutuma sms nyingi kwa mara moja au interval ndogo kwa watu wengi. So unaonekana kama vile akaunt yako ni spam.
Ikitokea pia unatumia whatsapp isiyo rasmi hii inaweza kukukuta.
Isipokua hua najua mtu anagewa muda mfano ataambiwa asubiri saa 24 ila wewe naona unaambiwa kua akaunti yako haitakiwi kutumia whatsapp.
Hebu angalia maudhui uliyokua unadeal nayo huko whatsapp