Wanasema hakuna kukata tamaa

Wanasema hakuna kukata tamaa

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,284
Reaction score
2,593
๐—ก๐—ฐ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—œ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐Ÿฐ

View attachment 2727326

[emoji189] Nchi ya India imefanikiwa kufika mwezini baada ya kujaribu na kushindwa miaka minne iliyopita, hatimaye India imefanikiwa kufikisha chombo chake mwezini.

Ikiwa ndo nchi ya kwanza kufikisha chombo chake kwenye eneo la upande wa ncha ya kusini mwa mwezi hakuna chombo Chochote kilichowahi kukanyaga upande huo.

[emoji189] India inakua nchi ya Nne kufika mwezini baada ya Marekani, china na urusi kupitia (Ussr) lakini India ndo inakua nchi ya kwanza kufika kusini mwa mwezi.

[emoji189] Ambapo Wana sayansi wanaamini ni eneo ambalo linaweza kutunza akiba ya maji yaliyogandishwa na vitu vya thamani.

Chombo hicho kimepewa jina la chandrayaan 3 ambapo #chandra maana yake ni "mwezi" wakati #Yaan ikiwa na maana ya "ufundi" au "gari" kwa lugha ya Sanskrit.

[emoji189] Kilianza safari mwezi July 14 kusini mwa India kimefanikiwa kufika mwezini kumi na mbili jioni kwa saa za India wakati Tanzania ni saa Tisa na nusu usiku.

Wanasema kila jambo na wakati wake tusikate tamaa na hakika Tanzania tutafanikiwa na sisi kupeleka chombo Mwezini [emoji56] siku zijazo.

#tanzania #bongotech255 #fahamuzaidi
IMG_20230824_151606_505.jpg
View attachment 2727322View attachment 2727325View attachment 2727323View attachment 2727324
 
Mkuu unaweza ukatupia mapicha picha yakutoshe tuone kama kweli
Wamefika.
Najua kuna wataalamu wa CGI na Graphics designers humu watatusaidia kujua mbivu na mbichi.
๐—ก๐—ฐ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—œ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐Ÿฐ

View attachment 2727326

[emoji189] Nchi ya India imefanikiwa kufika mwezini baada ya kujaribu na kushindwa miaka minne iliyopita, hatimaye India imefanikiwa kufikisha chombo chake mwezini.

Ikiwa ndo nchi ya kwanza kufikisha chombo chake kwenye eneo la upande wa ncha ya kusini mwa mwezi hakuna chombo Chochote kilichowahi kukanyaga upande huo.

[emoji189] India inakua nchi ya Nne kufika mwezini baada ya Marekani, china na urusi kupitia (Ussr) lakini India ndo inakua nchi ya kwanza kufika kusini mwa mwezi.

[emoji189] Ambapo Wana sayansi wanaamini ni eneo ambalo linaweza kutunza akiba ya maji yaliyogandishwa na vitu vya thamani.

Chombo hicho kimepewa jina la chandrayaan 3 ambapo #chandra maana yake ni "mwezi" wakati #Yaan ikiwa na maana ya "ufundi" au "gari" kwa lugha ya Sanskrit.

[emoji189] Kilianza safari mwezi July 14 kusini mwa India kimefanikiwa kufika mwezini kumi na mbili jioni kwa saa za India wakati Tanzania ni saa Tisa na nusu usiku.

Wanasema kila jambo na wakati wake tusikate tamaa na hakika Tanzania tutafanikiwa na sisi kupeleka chombo Mwezini [emoji56] siku zijazo.

#tanzania #bongotech255 #fahamuzaidiView attachment 2727327View attachment 2727322View attachment 2727325View attachment 2727323View attachment 2727324
 
Tanzania tunamalizia kwanza ujenzi wa matundu ya vyoo na madarasa ndo tuje kuweza peleka vyombo huko juu
 
Mkuu unaweza ukatupia mapicha picha yakutoshe tuone kama kweli
Wamefika.
Najua kuna wataalamu wa CGI na Graphics designers humu watatusaidia kujua mbivu na mbichi.
Itakuaidia nini kujua kama walifika au hawakufika?
 
Itakuaidia nini kujua kama walifika au hawakufika?
Itatusaidia wengi sana mkuu!
Dunia ya sasa haitakiwi tukaririshwe mambo, inatakiwa tuyaelewe kiundani.
Ni kama mambo ya Mungu, inatakiwa tuthibitishiwe uwepo wa Mungu kwa mantiki, siyo tuambiwe tuamini.
 
Itatusaidia wengi sana mkuu!
Dunia ya sasa haitakiwi tukaririshwe mambo, inatakiwa tuyaelewe kiundani.
Ni kama mambo ya Mungu, inatakiwa tuthibitishiwe uwepo wa Mungu kwa mantiki, siyo tuambiwe tuamini.
Uwepo wa Mungu uthibitishe wewe mwenyewe au unakanushe wewe mwenyewe maana una ubongo uliokamilika. Unaetaka akuthibitishie nae kahadithiwa kama wewe
 
Wewe unaamini kuna binadamu aliyewahi kufika mwezini akiwa hai na kurudi duniani?
Uwepo wa Mungu uthibitishe wewe mwenyewe au unakanushe wewe mwenyewe maana una ubongo uliokamilika. Unaetaka akuthibitishie nae kahadithiwa kama wewe
 
Back
Top Bottom