City Rider
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 402
- 1,218
Achana na hii kitu, kama una bajeti ya kununua iphone 11 au 12 please pita kwanza uchukue pixel halafu ukirudi tena kwenye iphone niite mbwa nimekaa paleee
pc nyingiAchana na hii kitu, kama una bajeti ya kununua iphone 11 au 12 please pita kwanza uchukue pixel alafu ukirudi tena kwenye iphone niite mbwa nimekaa paleeeView attachment 2380916View attachment 2380917
Kwamba leta kitu hata kimoja ambacho iphone 11au 12 imemshinda huyo mtu hapo juukwamba ?
[emoji16][emoji16][emoji16]RAM 6GB [emoji16] kweli kiboko. Inaishinda hata
pc nyingi
Nishawahi tumia pixel 6pro, sidhani kama kuna simu kali kama ile duniani ilikuwa nikipiga picha mtu anaweza sema nimetumia mark kumbe simu tuAchana na hii kitu, kama una bajeti ya kununua iphone 11 au 12 please pita kwanza uchukue pixel alafu ukirudi tena kwenye iphone niite mbwa nimekaa paleeeView attachment 2380916View attachment 2380917
Ebwana hongera mkuu hawa pixel wameshindikana hasa kwenye picha zina pixel kubwa na quality yake ni hatarinishawahi tumia pixel 6pro
sidhani kama kuna simu kali kama ile duniani ilikuwa nikipiga picha mtu anaweza sema nmetumia mark kumbe simu tu
Full box 750 k mpaka 800kBei gan wakuu
Eti shida iko pale pale😁😁😁😁Full box 750 k mpaka 800k
used 700k kitu kama hicho
kama una budget ndogo unaweza kuchukua pixel 4 xl used ni 500k mpya 650 k hii nayo ni hatari tabu iko pale pale
hatari 4xl ina face id sensitive sana, camera kali alafu nyuma kioo na body steel, RAM 6 na storage 128 gb ebwanaa eeh jamaa wanajuaEti shida iko pale pale[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa unaambiwa imetoka pixel 7 na 7 pro hiyo iphone 14 irudi shuleIzi simu nishakuwa addicted nazo nazipenda japo nipo 3a ila nafanya mpango ya kuchukua 6 pro mwaka ukigeuka itakuwa ishapungua makali kweny bei....kuanzia display yaani kioo kipo poa nimetumia hii mwaka sasa ukinipa simu nyingine hta iphone kweny kioo naona nyeupe sana kama inaumiza macho yaani nishazoea afadhali samsungu izi simu ni balaa mno
Jamaa Wana hatari sema Bei zaoSasa unaambiwa imetoka pixel 7 na 7 pro hiyo iphone 14 irudi shule
Sasa ndugu hutumii iphone lakini unaielezea kuwa bora how do you know that my friend?Bado hakuna simu ya kuilaza brand ya iPhone , mi mwenyewe sio mtumiaji wa iPhone , Ila mpak sasa iPhone ndo simu , labda mwaka kesho ndo itaanguka
Hizo simu naziuza boss, primary situmii cause kila nayoshika naipiga bei, brand zingine ni kujaza megapixel kwenye Camera na Ram nyingi, Ila efficiency still ni changamoto, iPhone simu zao ni quality Sana, mnyonge mnyongeni Ila haki yake mpeni.Sasa ndugu hutumii iphone lakini unaielezea kuwa bora how do you know that my friend?
Mimi nimetumia iphone 6 plus, 7 plus na X kitu nimeiona ni bora over pixels labda ni securiy the rest watumiaji wa iphone wapo ndani ya cage, hawapo free.Bado hakuna simu ya kuilaza brand ya iPhone , mi mwenyewe sio mtumiaji wa iPhone , Ila mpak sasa iPhone ndo simu , labda mwaka kesho ndo itaanguka
Nimekuelewa sana simu nyingi wanajaza ma RAM na Camera nzuri ila zina efficiency ndogo lakini si kwa google pixel, vitu vikubwa nimependa kwenye pixel over iphoneHzo simu naziuza boss , primary situmii cause kila nayoshika naipiga bei , brand zingine ni kujaza megapixel kwenye Camera na Ram nyingi , Ila efficiency still ni changamoto , iPhone simu zao ni quality Sana ,mnyonge mnyongeni Ila haki yake mpeni